C kila m2 anaweza kufika kwa dc wala Rc ndg zangu muwe mnaongea nakufanya utafiti ofisi nyingi hapa tz wa2mishi wake wanakaa ofisini 2 na hawapendi uxumbufu ukifika kwa dc au Rc unaulizwa huko kwenu hakuna serikali za mitaa n.k au mlinz anakuzuia getini usiingie au secretary asa kwa mwanchi...
Bachelor of education in science badae huwezi kubadili kwenda medical school lakini bachelor of Science with education ukimaliza unaruhusiwa kufanya master in medical school kama pharmacy, medical laboratory n.k
NAOMBA MSAADA WAKUU KWA ANAEJUWA
nimechaguliwa BED in Science Ila Sijaipenda Napenda Bachelor of Science with education nifanyeje wakuu? ni Reapply upya au
Ndiyo matokeo yasha toka udom na muhas weye ukiingia online utayaona. vle vle kama umechaguliwa unatumiwa massage kwenye namba yako ya cm. Mie Udom nisha tumiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.