Recent content by MAONO BOY

  1. M

    Natafuta girlfriend

    Mimi ni single,elimu yangu shahada,sina kazi napatikana Dar umri miaka 28,natafuta mpenzi wa kike,umri miaka kuanzia 23-26, elimu kuanzia kidato cha nne mpaka chuo. Kama upo tiari chukua namba hii 0719526860
  2. M

    Anatafutwa msichana mwaminifu

    Nahitaji mwanamke aliyemaliza kuanzia kidato cha nne na kuendelea ambaye nimwaminifu ili niweze kumuajili kwenye DUKA LA M-PESA na TIGO- PESA MAKUMBUSHO-Dar. sifa zake 1 uaminifu 2.umri miaka 20 na kuendelea 3.mchapa kazi. malipo ni maelewano kati yangu na yeye. Kama akipatikanika wa makumbusho...
  3. M

    Tunaosubiri Ajira za Maafisa Ugani

    ndugu siku hizi serikali imeacha kuajiri watu moja kwa moja kwenye wizara ya kilimo mpaka uombe utumishi, pia wapo kwenye mchakato wa kuacha kuajil watu moja kwa moja ualimu na kuacha nao wawe wanaomba utumishi kama wengine, ukiachilia wa sayansi ambao watakuwa wanaajiliwa moja kwa moja mpaka...
  4. M

    TTCL kunani jamani?

    ndugu,siwezi kudanganya jamii maana najua humu siyo jukwaa la siasa, huo ndiyo ukweli wameshafanya, labda kama hiyo interview siyo yenyewe. ila mimi ninayoijua wamefanya ni ya nafasi za IT ambayo writen kulikuwa pc-3 yaani mitihani mitatu ya kufanya na ulitakiwa ufanye yote mitatu. aliyeitwa ni...
  5. M

    TTCL kunani jamani?

    ndugu yangu wameshaita muda mrefu na watu sasa wamesharudi makwao kwani mmoja nilimpokea mimi mwenyewe majuzi alienda kufanya oral na kwenye panel ya watu wa inerview walikuwa wazungu wote. endelea kwingine usijali mkuu
  6. M

    Mbona kada ya Computer System Analyst hawajaitwa kazini

    kaka ukiona manyoya ujue kariwa, hao general attorney watakuwa wamegawana kazi hizo wenyewe kwa kujuana, maana kuna mtu mmoja aliyefanya hiyo interview ya attorney general kapangiwa kwenda halmashauri ya wanging'ombe huko njombe badala ya kubakizwa office ya mwanasheria mkuu. sasa sijajua kama...
  7. M

    Angalizo: Wanaoitwa interview na utumishi wa umma

    Kweli kabisa kaka hii mimi ilinikuta zambia kwenye interview, wale jamaa hawana longo longo wanakwambia on the sport. "stop moving around the bush and be specific to the point"
  8. M

    Natafuta rafiki wa kike umri kuanzia miaka 21-25

    mimi sina kitu kwa sasa ila napambana na maisha, natafuta rafiki wa kike ambaye nitakuwa naye bega kwa bega katika kushirikiana naye katika kutafuta na ikiwezekana muda ukifika basi tunaweza kufunga pingu za maisha, kama utakuwa tiari juu ya hili tafadhali ni pm. ili tuanze mawasiliano ya karibu...
  9. M

    Mungu anipe nini, ni furaha iliyoje kumpata mke mwema wa ujana wangu

    hongera kaka ila kuna amount ya pesa umeitaja hapo alichokukuta nacho kama 10 milion kabla hujamuoa, kuna uwezekano mkubwa anakupenda kwa sababu una mawe, siku yakiisha utaona na baby zinapungua. pia jaribu kuekit kama mawe yameisha yaani hamisha hizo hela kwenye account bila yeye kujua halafu...
  10. M

    Nimeacha maisha ya kijijini yaendelee nimekuja mjini

    jamani kijijini hali ni mbaya, anaeye kushauri rudi kijijini ukalime anakudanganya, mimi nimetoka kijijini nikawa nalima maana nilikabidhiwa na mshua ekari zisizopungua 6 kama mmiriki na kuanza kuziendeleza kwa kilimo, sasa nimeamua kuziacha na kuhamia mjini kutafuta kazi mpaka kieleweke kwani...
  11. M

    Ukiniacha Nakuloga

    Kaka usikurupuke we tulia, ndoa si lazima ukimuoa kwa stail hiyo hamtaishi kwa amani.jambo hili lilimtokea kaka yangu na akaoa siku hizi anajuta sana maana aliambiwa atalogwa.
  12. M

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Information Technology

    mdogo wangu jitahidi tu kuomba kazi utapata tu usikate tamaa kabisa mungu yupo pamoja nawe
  13. M

    Kwa ambaye hana kazi, jaribu hii

    huko kijijini unatembea au unatumia usafiri gani, maana tufikilie pia kiatu; muda na matumizi wakati unasubili hiyo buku maana siamini unaweza kuwa na nguvu za kuongea na mteja huku unanjaa
  14. M

    Pass mark ya utumishi

    ndugu zangu, mimi kwa uelewa wangu mdogo najua passmark ya utumishi ni marks 50 lakini naona haizingatiwi kwenye kitengo cha IT maana ukipata kuanzia hiyo 50 hupati nafasi ya kuendelea na interview ya pili.mimi nafikiri wangekuwa wanaruhusu ikishafika pass mark yao uendelee mbele maana wengine...
  15. M

    Nimepata kazi

    kazi za IT assistant ni kwa diploma na si degree na ndo maana huyu dogo mungu alimnyima principle za kwenda kupata degree kwa sababu angepata kwenda kusomea degree kwanza angefeli, maana inawezekana hiyo writen iligusa kwenye level yake lakini bado anajitapa,hajui utaratibu wa kazi anaweza ishia...
Back
Top Bottom