Recent content by Maonga wa Korogwe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Shamba linauzwa Korogwe

    UTAJIRI NJE NJE Ni Shamba la Eka 10, lipo Mkoa wa Tanga, Wilaya ya Korogwe, Kata ya Kilole njia ya kuelekea Kanisa la ROMA. Kutoka ilipo "round about" Mzunguko wa Kilole Mjini ni umbali wa Kilomita 3 mpaka Shamba lilipo. Shamba lina mazao mengi mno. Michungwa ya kuvuna Miti 1500, Mikorosho...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Korogwe hali si shwari, na itakua mbaya zaidi kutokana na dharau za wachumia tumbo

    Hakika, atakua ni mwenye upeo mdogo wa kufikiri atakayedhani kua utawala usiyopendwa na wananchi utatawala pasipo vikwazo. Lakini pi, atakua ni mfu wa mawazo atakayeona ni vyema kutumia mabavu, ili aongoze milele hata kama utawala wake umechokwa. Tar 30/10/2014 ilikua ni kikao cha Baraza la...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hatari: Mkuu wa Wilaya ya Korogwe na mbunge wa Korogwe vijijini, wabariki mafunzo ya kigaidi

    Kuna uwezekano, uchaguzi ujao
  4. M

    JamiiForums Tanzania Takukuru wilayani muheza wamevamia kikao cha tathimini ya chadema ni msingi mda huu no2

    TAKUKURU WILAYANI YA MUHEZA WAMEVAMIA KIKAO CHA TATHIMINI YA CHADEMA NI MSINGI MDA HUU NO 2. Baadhi ya wajumbe wa kamati ya CHADEMA NI MSINGI Wilaya ya Korogwe tulikua na mjadala leo siku ya tar 11/07/2014 kujadili juu ya habari yenye kichwa cha habari “TAKUKURU WILAYA YA MUHEZA WAVAMIA...
  5. M

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU wavamia kikao

    TAKUKURU WILAYANI YA MUHEZA WAMEVAMIA KIKAO CHATATHIMINI YA CHADEMA NI MSINGI MDA HUU NO 2. Baadhi ya wajumbe wa kamati ya CHADEMA NI MSINGI Wilaya ya Korogwe tulikua na mjadala leo siku ya tar 11/07/2014 kujadili juu ya habari yenye kichwa cha habari “TAKUKURU WILAYA YA MUHEZA WAVAMIA KIKAO...
  6. M

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU wavamia kikao

    Hakuna uhalisia juu ya hili.........
  7. M

    JamiiForums Tanzania Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Nijuavyo mimi mwenye lake huwa halitangazi bali anafanya tu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo tukoseapo watanzania

    Nchi nyingi ulimwenguni viongozi wake huongoza kwa umakini, busara na hekima zote na kwa kuwasikiliza wananchi wao katika mambo muhimu kwa kuwa walisha wahi kuoneshwa cheche na wapiga kura hao. Lakini kwa Tanzania nitofauti kutokana na dhana ya "tuvumiliane jamani, watanzania wote ni ndugu"...
Back
Top Bottom