Sasa ulitaka wauawe kama Tanzania wenzenu wanafuata katiba na walichokuwa wanakitaka kilikubaliwa hapa kodi kibao mnaongelea chini chini kuogopa watawala.you are zero brain 👎
NJ Kwa nini we Africans inapofika karibu na uchaguzi lazima kuwe na mabadiliko ya mfumo wa kiuchaguzi wakati katiba ilishasimamia vitu vyote? Huko ni kutafuta Matatizo yasiyo na tija kwa nchi.
Hiyo ruzuku mnaongelea sana wanayopewa wapinzani lakini si haki yao kikatiba baada ya kufikisha kanuni fulani, je katiba imesema makanisa yapewe pesa kama haijasema basi hiyo ni rushwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.