Recent content by Maomack

  1. M

    Tanzania yajitetea Umoja wa Mataifa tuhuma za Kutesa, Kudhalilisha Wanaharakati

    Amekaa wiki nzima kuandika hiyo barua ya uongo angeulizwa maalbino walikuwa wanauliwa angesema hivyo hivyo Tu.
  2. M

    Usalama wa Taifa wazalendo wamwekee Gwajima ulinzi au intelegensia kubwa lolote wanaweza kutokea watu wabaya kumdhuru

    Mpaka kasema aliyosema, he's not alone and time will tell 🥹
  3. M

    Nani anawadanganya Wakenya kuwa wana Ubavu wa Kushindana 'Kijeshi' na Tanzania inayoogopeka 'Kijeshi' na 'Kiujasusi' Ukanda wa Maziwa Makuu?

    Sasa ulitaka wauawe kama Tanzania wenzenu wanafuata katiba na walichokuwa wanakitaka kilikubaliwa hapa kodi kibao mnaongelea chini chini kuogopa watawala.you are zero brain 👎
  4. M

    Waangalizi wa Uchaguzi wataka Ripoti ya IEBC iwekwe wazi

    NJ Kwa nini we Africans inapofika karibu na uchaguzi lazima kuwe na mabadiliko ya mfumo wa kiuchaguzi wakati katiba ilishasimamia vitu vyote? Huko ni kutafuta Matatizo yasiyo na tija kwa nchi.
  5. M

    DOKEZO Responded Miezi miwili imepita bado meli ya Mv-Victoria haifanyi kazi, wananchi tuelezwe nini kinaendelea

    Sasa tuchukue uwamuzi maana nchi ni yetu tusibaki kulalamika haita saidia watabaki kuiba tu.
  6. M

    Baraza la Maaskofu TEC linapobariki pesa chafu za CCM

    Sasa ile si inapitishwa na bunge
  7. M

    PreGE2025 UVCCM Geita yamtaka Mbunge Kanyasu aombe radhi vijana kwa kauli zake

    Huyu kijana ni ovyo kabisa anaonekana ni chawa anataka uteuzi
  8. M

    Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

    Unatoa pesa mingi kwa kitu kipya sio recondition
  9. M

    Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

    Inamaana serikali yote imeamia kariakoo sababu ya deal la kamera
  10. M

    Baraza la Maaskofu TEC linapobariki pesa chafu za CCM

    Hiyo ruzuku mnaongelea sana wanayopewa wapinzani lakini si haki yao kikatiba baada ya kufikisha kanuni fulani, je katiba imesema makanisa yapewe pesa kama haijasema basi hiyo ni rushwa
Back
Top Bottom