Recent content by Mao Tanzania

  1. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi, Scotland: Rais Samia ametuangusha

    Aliegoma kutembeza bakuli katumia trilioni 4+ za wazazi wetu wastaafu. Dhambi iliyoje
  2. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Tanzania tuwe na ufalme, tuteue ukoo mmoja!

    Tuachane na kulaumu mtu mmoja mmoja. Kama Watz wote au wengi wasingetaka yafanyike yaliyofanyika yasingefanyika. Kwani uliemtaja ndo alisimamia vituo vyote 80,000 Nchi nzima?
  3. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Tanzania tuwe na ufalme, tuteue ukoo mmoja!

    Hapana, tunaweza kuwa na utaratibu tofauti wa kuupata
  4. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Tanzania tuwe na ufalme, tuteue ukoo mmoja!

    Za pilika ! Nimekuwa nikifuatilia michakato ya Uchaguzi ya vyama vingi toka 1995. Mimi ni mdau wa "utulivu" yaani tuwe na jamii tulivu. Kwanini naongelea UTULIVU? . Utulivu ndo hasa kitu pekee halisi kinachoweza kuwepo katika kundi la binadamu wanao kaa/Ishi pamoja. Kiasili hakuna usawa wa...
  5. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Hahahaaaaa ... Sijaona utetezi... Na wewe John ndo umeishia hapo tu ?
  6. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Hahahaaaaa ... Sijaona utetezi...
  7. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Tusitengeneze hamaki: Hizo kura feki zinapigwaje?

    Za siku nyingi Kaka Mkubwa. Umepotea Sana.
  8. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Madaraka Nyerere, hazina ambayo haijatumika

    Dah, Tumetoka mbali sana. Ulikuwa very objective zamani
  9. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri katika Ufunguzi wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) - Uwanja wa Jamhuri, Dodoma (Agosti 29, 2020)

    Nafuatilia matangazo hapa. Naona JK kapotezewa.
  10. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kupita bila kupingwa - is this democracy too?

    Wakati bado OG
  11. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

    Katika mambo yatakayoiangusha CCM Ni kuongelewa flyovers Kasulu, shumbawanga, Tarime, Serengeti, karatu, Mbulu. Kuongelewa SGR Ngara, Mtwara,.Songea, Kilwa, etc. Kuongelewa Stiglers. Hayo Ni Mambo mazuri lkn katika maeneo ambayo miradi hiyo haigusi moja kwa moja Basi itafutwe lugha fafanuzi
  12. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

    Umepoteza Credibility na Branding yako uliyijenga kwa muda mrefu kwa njaa za tumbo. Makala zako kwa Sasa inatosha tu kusoma heading, inakuwa haina haja ya kuingia ndani kupoteza muda. Pole Sana Mayala, hekima inasema huwezi kumfundisha mbwa Mzee mbinu Mpya, hivo hivo inashauri ukiwa Mzee...
Back
Top Bottom