Uyu binti akil empty aiseee alitakiwa apange na mumewe mtarajiwa kias ambacho mume kajiandaa pili angeenda kuongea na wazaz wake kuhus mahal hiyo kabla mchumba kwenda akisema asikilize wazaz atadodea nyumban watoto wote atazalia nyumban afu hawo hawo wazaz waliyotak kumuoza kwa gharama kubwa...
Mimi nachokushaur hapo usikurupuke mkalishr bench kwa huyo bint kama anania kwel ata vumilia coz kuna watu huwa wanaenda huko south kwa kigezo kuwa wamepata wachumba....
Mfano kuna binti alipatana na mkaka mtandaoni kaka huyo anaish south sasa uyo kaka akatoka south akamfuata TZ wakaspend mkaka...
Nyie mambo hayo yapo kabisa hasa ukimpenda mtu kiukwel kunakuwa nafs kabisa inakusemesha...mimi hiyo hali iliwah nikuta sio kucheat mbaka akifanyiwa kitu kibaya naota live kabisa na nikimuuliza anakubali au ikiwa mchana akifanyiwa kitu kibaya moyo unauma sana na nikimpgia sim anakuwa hayuko sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.