Asante sana ndugu yangu nitafanya hvyo nimwkuwa nkikutafta sana muda kuweza kukuuliza Ila nashukuru sana ndoto zinatisha sana hasa unapoikumbuka yote asubuh
Ila nateseka sn na hizi ndoto zimekuwa muoga sn kulala. Na hata kutembea sehemu nazohisi kunaweza kuwa na nyoka maana lazima ntakutana nae km usiku nilimuota tena rangi hadi ukubwa.
Kuna sehemu nilienda ugenini ñkamuona choon wenye nyumba wakashangaa sn wakasema toka wamehamia hawajawah kuona...
Mimi huwa naota ndoto za manyoka na huwa hayaniumi ila asubuh nkiamka lazima ntakutana na nyoka na ntamuua Mara chache sn wamekimbia yaan ndoto za manyoka zimekuwa kawaida na kuna siku wanakuwa wengi sn ndani baba yng anawaambia ndugu zngu msiwauwe eti mpk nije mie.yaaan ndoto zimekuwa hvyo km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.