Miaka kumi ya Mheshimiwa Jakaya Kikwete imeibua vijana wengi ktk siasa za Nchi, listi ni ndefu kuanzia Zitto Zuberi Kabwe, John Mnyika, January Makamba, Mwiguru Nchemba, Ben Saanane, Hamis Kigwangala, Halima Mdee, Ester Bulaya, Juliana Shonza na wengine kibao.
Lkn wengi kizungumkuti cha namna...