Recent content by manyuu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    Unataka kuniambia kabla hajapewa hicho cheo walikuwa hawajui huyu Mussa ni mtu wa namna gani? Muhimu kwanza tuone governing document yao inasemaje kuhusu uongozi na namna anavyopatikana na awe na sifa zipi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    Kiasi Rais Magufuli awatolee nje hawa hawa watu. Hawana credibility yoyote ile to speak of. Inakuwaje wanaomba omba huku wanamiliki majumba na ardhi kubwa sana kwenye nchi hii? Na hii ya huyu Mussa vs Mange naona itakuwa ndio salama yao kwani itabidi wajipime kisawa sawa kama kweli wana uwezo...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Toka lini JF ikawa mahapa pa kujenga hoja? Hakuna mwenye interest na kujenga hoja na kama huamini tazama threads 50 zilizopo kwenyejukwaa la siasa Msimamo wangu uko pale pale Kama Rais hana imani na Idara na wizara hizo bora akazimiliki mwenyewe Tusisahau kuwa rais huyuhuyu kampa wadhifa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Hilo neno kiherehere mimi nilikuwa silitumii sana lakini Huyo Tenant wetu hapo Ikulu alianza kulitumiwa kuwaita viongozi wastaafu ambao walikuwa wanampa ushauri Sasa iweje yeye awaite wazee viherehere halafu ofisi yake ikiambiwa ina kiherehere watu wanapanic narudia tena, Ikulu iache kiherehere
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Lete break down ya USD 190 ambazo Ikulu ilidai tunawadai ACACIA mining Usisahau kuwa Ikulu hii hii ndio iliridhia Fraud (makonda) apewe Ukuu wa mkoa Hawana moral authority kutuambia kitu hawa watu wa Lithuli Hayo mambo mengine nitarudi baadae kukujibu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    The fact that huyo mkuu aliopo Ikulu alimteua huyu fraud kuwa mkuu wa mkoa wa Dar, hii ikulu haiwezi kuwa na credibility yoyote ile to speak of.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Serikali hii hii ambayo iliyodai ACACIA USD 190 billion bila breakdown? au serikali nyingine?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Hivi kila anayeuliza swali namba maamuzi na mambo yanavyofanywa ana deal? Hivi unajua tulikosa kiasi gani kwenye deal ya ACACIA kununuliwa? Najua jibu huna lakini tusinge kosa USD 880 kama Capital Gains Tax Hapo kabla wajuaji kuingilia Mwishowe tukasema tunadai USD 190 BILLION (bila kupewa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    White house haina mamlaka na haiwezi kuzuia Kampuni za USA kununuliwa na China USA wana kitu kinaitwa Committee on Foreign Investment ndicho chombo chenye mamlaka hayo Hata suala la AT&T kununua CNN/Time Warner suala hilo lilikuwa chini ya regulator ambaye ni US Department of Justice na siyo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Maana kila kitu unambiwa maelezeko toka Juu Ukiuliza juu wapi unaambiwa Ikulu Ukiuliza ninnani Ikulu wanasema ni Sultani mwenyewe Sasa kama ndio hivyo mimi nashauri apewe wizara zifuatazo: Mambo ya Ndani, Biashara, Nishati, Sheria, Miundombinu, Madini na Mambo ya Nje Kisha hao hao watu wa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    This is dangerous
  12. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Kama kuna jambo ilitakiwa REGULATOR ndio aseme na sio Ikulu na kama kuna wizi au ubadhirifu umefanywa ni kazi ya regulator kuwaachia vyombo vya sheria kufanya kazi zao na sio Ikulu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Ndio Ikulu ina kiherehere Jiulize kwa nini mazungumzo ya ACACIA yalikuwa yanasimamiwa na yanafanyika Ikulu? Kwa nini wanapenda ku micromanage kila kitu? Regulators wako, mawaziri wako, wakuu wa idara wako sasa why kila kitu kiwe ikulu? Mwishowe tunaambiwa kuwa tunadai 190 billion usd bila...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

    Isseu hapa ni kwa nini Ikulu wao wanaingilia kila kitu? Nchi ina vyombo husika ambavyo vina wataalam wa kuangalia haya mambo Sasa kama ndio hivyo bas wizara za Sheria, Madini, Fedha, Biashara na bila kusahau TPDC na EWURA zote ziwe chini ya Ikulu. Haiwezekani wao kila kitu wafanye wao...
Back
Top Bottom