Recent content by Manyunchwi

  1. M

    Naibu Waziri Nditiye aagiza TCRA kukagua mabasi yote yanayosafirisha vifurushi bila kuwa na leseni

    Posta na simu, Simu ilishindikana wakaleta kampuni za simu, imagine hadi leo tungetegemea TTCL.... jibu unalo Usafirishaji wa barua, sasa tunamaliza kwa barua pepe au mabasi, ukitumia posta itachukua mwezi kuipata na hawakupigii simu kukuambia kama kuna barua yako,,,, ila kwa mabasi unapigiwa...
  2. M

    Vijana wa JKT wadaiwa kuua

    Polisi wanaogopa JKT?
  3. M

    Mfumuko wa bei nchini Tanzania umeongezeka hadi asilimia 3.8 kutoka asilimia 3.6 ya mwezi Oktoba, 2019

    Miezi kama hii ni kawaida bei za vyakula kupanda,. Na bei kama mahindi ilisemwa ijipange yenyewe. Kama vipi lima mahindi yako
  4. M

    John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

    Wekeni silaha chini muongee myamalize, mtawamaliza vijana maana hawataacha kuongea.., nyumba yenu wote na wote mnahaki sawa... mpira mnaangalia wote, dukani bei moja, hospitali moja, usafiri mmoja, ingekuwa upande mmoja umepunguziwa bei tungeelewa,***** kila siku ugomvi...
  5. M

    TCRA naombeni majibu haya kabla ya kuhitaji alama za vidole za kila mmiliki line, je technology ya kisasa imewashinda?

    Ile staili ya "ile hela tuma kwa namba hii' wanakuwa na laini nyingi sana halafu hawajulikani, sasa kwa fingerprint watajulikana hasa pale watakapoenda ku up-date line zao...
  6. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa NSSF, Pro. Kahyarara na kumteua William Erio

    Duuuh, kama mnashuhudia hii na kama ushuhuda wako ni kweli, kweli tupu...basi sawa, Maboss wawepo ofcn kutatua kero za jamii
  7. M

    Viongozi wa Serikali na Wanachuo wa Chuo Kikuu Bugando wafukuzwa Chuo

    Habari hii wanaochangia ni sisi wengine.... Inamaana hamna hata mmoja kutoka hapo Bugando aeleze au achangie?.. si kwamba hatuamini ila ni vema kusikia pia kwa wanaotetewa... Wanavyuo mmetetewa halafu wenzenu wamekuwa lab-rats mnakaa kimya?
  8. M

    Zanzibar: Viongozi watano wa Jumuiya ya Maimamu waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha mwezi uliopita wapatikana

    Watu wasiofahamika wameongea na Masheikh- Embu tuwaombe wakuu wetu hawa wa dini waliokutana ana kwa ana na 'wasiojulikana' pamoja kuwasifu kuwa watu wema, watuambie wale ambao hawarudi huwa wamekosea nini katika jamii hadi wasirudi? Roma alirudi nae hakueleza cha kueleweka...
  9. M

    Iringa: Wahamiaji haramu 83 raia wa Ethiopia wamekamatwa wakielekea Afrika Kusini kupitia Malawi

    Wanawake wanatorokea nchi za uarabuni, na wao wanapata mateso sana hasa ubakaji (Wahabesh ni wazuri) na udhalilishwaji mwingine
  10. M

    Mzigo wa Korosho kutoka Tanzania wakutwa na mawe nchini Vietnam

    Sampuli ya mawe ipimwe kama kweli inatoka Tz
  11. M

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    Kuna uhusiano wowote wa swala la kuhubiri toba kwa watawala na kauli yeye kuwa na hela? If one, then 2 then 3 then 4......
  12. M

    TCRA wachukulieni hatua kali hawa watu wa EATV na EA Radio ni wapuuzi sana

    Wengine hawana mb anatumia free data ya tigo, akiona link anakasirika na kuanza kulaumu, ama anaanza kukomenti bila kujua contents
  13. M

    Tetesi: Wasio na Vitambulisho vya Utaifa Kutopata Mshahara?

    NIDA hawaku-update data za baadhi ya waliojiandikisha,. Na baadhi ya vitambulisho havijatoka hadi muda huu... kosa la nani?. Uzuie mshahara wa mtu kwa sababu zisizo zake!?
  14. M

    TCRA yataka makampuni ya simu kusitisha matangazo yanayowekwa kabla ya miito ya simu

    Afadhali,tangazo la jaza ujazwe lisiwekwe kabla ya kujua mtu hapatikani ama simu inatumika... usumbufu sana
Back
Top Bottom