Recent content by Manyema Original

  1. M

    Safari ya kwenda UJERUMANI

    Matapeli wamekuwa wengi mjini jaribu kufuatilia kule ulikotuma, ila ulipaswa uwe na uhakika kabla.
  2. M

    Nauza simu ya NOKIA 6760s BEI Chee

    hizi ni original au mchina?
  3. M

    Jamani nahitaji mume mwenye mapenzi ya dhati.

    NATA niliposema haijalishi ameajiriwa au amejiajiri nilikua namaanisha kati ya mawili awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe lakini si mkaa nyumbani na ndio maana nikasema awe anapenda kufanya kazi. mwanaume asie fanya mi wa nini. mi mwenyewe nafanya kazi ye akae nyumbani kasema nani sio kwa...
  4. M

    Jamani nahitaji mume mwenye mapenzi ya dhati.

    wapendwa mm ni binadamu wa kawaida nimekamilika namaanisha nina viuongo vyote vya mwili (sio kilema) ni mwajiriwa serikalini miaka yangu 33, sijawahi olewa sio mzuri na wala sio mbaya vilevile. acheni maneno ya dhihaka watu tupo serious humu if ur not interested jus leav the thing kuna watu...
  5. M

    Vifaa vya saluni vinauzwa draya,stima, dish and rolers stand kwa bei poa kabisa.

    nimepata uhamisho wa ghafla wadau inabidi nipunguze mzigo na uwe serious unapoongea biashara na mtu figga.
  6. M

    Vifaa vya saluni vinauzwa draya,stima, dish and rolers stand kwa bei poa kabisa.

    ni vifaa vya saluni ya kike wadau na Dish ni kwa ajili ya kuoshea nywele. bei yake ni maelewano na ndio maana nikaweka namba za simu, japo sio ishu vile vile. draya na stima ni hizi za kisasa za ukutani zote pamoja ni laki 6, dishi la kuoshea nywele laki na nusu, stand ya rolers 85,000, kuna...
  7. M

    Nimemshika mchumba wangu na message ya kimapenzi

    penye ukweli uongo hujitenga, huyo ni mtu anaefahamiana nae kama kweli alihitaji suluhisho angepiga simu on the spot na kuweka loud speaker. ikiwezekana nawe chukua namba fatilia kwa mda wako bila yeye kujua.
  8. M

    Jamani nahitaji mume mwenye mapenzi ya dhati.

    Awe na umri wa 37-45, anafanya kazi haijalishi ameajiriwa au amejiajiri na awe mpenda kazi, muislam na anaipenda dini. awe na upendo wa bila kuangalia sura wala umbo la mtu.awe tayari kuoa si urafiki.
  9. M

    Vifaa vya saluni vinauzwa draya,stima, dish and rolers stand kwa bei poa kabisa.

    Vimetumika kwa miezi mitatu tu vipo Mkoa wa Mtwara mjini kama unahitaji wasiliana kwa namba hz 0654 158413.
  10. M

    Natafuta mchumba wa kuoa

    mh haya kila la heri.
  11. M

    Hodi hodi walimwengu.

    Tupendane kwa kubadilishana mawazo na pale inapobidi tusaidiane kwa upendo thats how we'r suppose to live.:caked:
Back
Top Bottom