Kwa walio vijijini kwa kweli ni pasua kichwa, au hata mikoa ambayo miundombinu ya internet ni hafifu kwa kweli itakuwa ngumu. Hata hivyo mfumo ni kwamba unafunguka ukiwa kwenye internet nzuri na kwa watu ambao internet ni ya kusuasua ndo ngumu kufungua OTEAS. Na wahusika naamin wamesikia hilo...
Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata...
Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata...
Click View Application Report "Tab" hapo utaona summary ya maombi yako, hiyo ni kiashiria kuwa imekwenda. pia kama utaweza kuview document zako kutokea kwenye browser(Click Attachment Panel) pia ni ishara kuwa umefanikiwa kuapload.
@ Manyuc
Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata...
Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.