Chadema ya kweli itatokana na ccm iliyoimala,kama watawachukuwa watu imara kama Dr. John pombe cha magufuri,polepole,na kinana ila sio watu waliotuaminisha kuwa ni mafisadi wote tuseme ni chadema
Ccm haiwezekani ikawa na mtu mbumbu kama mbowe,mtu asijua kufanya uchambuzi wa kujua kuwa huyu ni garasha na huyo ni karata,nyarandu waliyesema anaiba twiga na kuwapandisha ndege na kuuuza faru leo wanamuita mtu msafi
Hata kama yupo chadema afikishwe tu mahakamani,kama walifikiswa watu Wengine iweje yeye.sisi tunajua chadema ni genge la kukimbilia mafisadi wote wa inchi
Enzi za JK Zitto na wenzake waliokuwepo kwenye kamati iliyundwa kudhughurikia mikataba ya madini,wakaja na solution kuwa jamaa wa madini wamekubari kulipa she. 4 kwa kila 1000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.