mtaji wa ccm ni wanavijiji walionyimwa elimu yaani mafukara waliokata tamaa na maisha wasio kuwa na uhakika wa male kwa siku yaani wale mandina hao ndio mtaji wa ccm wakiingia na vipesa chai na andazi kwa vijana na chumvi kwa akina mama mbege akina baba lazima tuimbe ccm kwa njaa zote hizo kwa...
kinana waajabu sana alikuja hapa nyamongo tukamweleza habari ya mkuu wa wilaya alivyo timua mwenyekiti wa kijiji cha nyakunguru kwa tiketi ya ccm akaweka wachadema kinana wakiwa nape wakaonyesha kushangaa na na kumtaka dc ajieleze na kukiri wakatupa moyo kwamba watahakikisha dc huyo anahamishwa...
ukitaka kutawala watanzania wafanye wawe mafukara sana alafu mambumbumbu kama walivyo chalinze na kwingineko utawatawala mpaka yesu arudi ccm oyeeeeeeeee
huyu lukosi sio hayo tu ya mwangosi ni tabia yake kutembea na daftari akiwa ameorodhesha majina na picha juu amepini akidai kafiwa na ndugu yake na kupewa michango ametukera sana hapa kwetu
haingii akilini eti waislam tuliomo chadema hatuna akili mbona hata ccm wapo wakirsto?vipi nyie wakwere?ccm na cuf acheni ubaguzi kutugawa kidini hiyo vita ya udini ni mbaya
hatukatai ccm ni kimbilio la wezi wala inchi mafisadi wang'oa kucha za watu pembe za tembo majangili haooooooooo hamna jipya kufukarisha watanzania tumechoka na itikadi zenu ilani zenu sera zenu bora upinzani nao tuwaone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.