Recent content by manyangumbishi

  1. manyangumbishi

    Yani mpaka sasa wataalam wetu hawajajua ni kitu gani kilianguka Kagera

    A Hiyo sample unaichukuwa kwenye nini mkuu?
  2. manyangumbishi

    SAKATA LA NDEGE, HECHE AMKINGIA KIFUA LISU

    "Lissu alitoa tahadhari kwa serikali kuacha kuvunja mikataba bila kufuata utaratibu wa kisheria, serikali hii iliyotuingiza kwenye matope haya ikatoka na kusema Lissu amehongwa na wazungu kuwatetea. "Leo mmeshindwa kesi mnatakiwa kulipa mabillion ya pesa za walipa kodi masikini kwa kuvunja...
  3. manyangumbishi

    Methali na misemo ya lugha ya kipare

    METHALI NA MISEMO YA KIPARE. (VISOMA VYA CHASU) 1. Kiruke cha ibwe kimanywa ni igondwa. 2. Kitambi cha muimi ni kiumbi. 3. Ekwira ima si iti anakulie. 4. Ngoma mbiri nyika ni kintu na mlamue. 5. Mvwi wedi teukaa he iziaka. 6. Ntambo ya nyani ni kugwa na kuvuka. 7. Ikunguru kusazanya mringa,ni...
  4. manyangumbishi

    Elimu ni bure, michango isiyo ya lazima inatoka wapi?

    HOJA BINAFSI: TUTUMBUE JIPU? SERA YA ELIMU KATIKA SERIKALI YA MAGUFULI, ELIMU BURE. naunga mkono sera hii ya elimu bure, naunga mkono utendaji kazi wa rais wangu kwa aslimia kadhaa wa kadhaa. HOJA YA MSINGI: Hawa viongozi walioanzisha michango (ya lazima) ndani ya elimu bure, wanamaana gani...
  5. manyangumbishi

    Kwa hili la kukusanya kodi, namuunga mkono waziri mkuu.

    WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maofisa wa Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania (TRA) wakusanye kodi za majengo kwa kuzingatia sheria na wasitoze kodi ya majengo wazee wenye umri zaidi ya miaka 60. “TRA ijipange kukusanya kodi za majengo kuanzia Julai mosi 2017. Katika kutekeleza jukumu...
  6. manyangumbishi

    Kumekucha Zanzibar, mwezi mtukufu wakristo tuepuke mitego

    Ukweli wa hili mchache ukilinganisha na uongo ulioeleza hapa.
Back
Top Bottom