Hata yesu aliwaambia wanafunzi wake watamkana mara 3, sioni ajabu hata hao wanaotoka chadema kwenda ccm, ipo siku watalia wenyewe tu wanaomba kurudi walikotoka
Tatizo la huyu mheshimiwa anataka sana aonekane kwenye runinga kila wakati, ndiyo maana anajaribu kubuni mambo kila cku ili tv na media zingine zimfuate kila cku, pia ukiangalia hakuna hata moja alilolionyesha kuwa limefanikiwa, anapenda sana pia aonekane anafanya kazi sana kuliko marais...
Jerry muro ni yule yule hatobadilika kamwe , mawazo yake yana lengo maalumu pia kwake, hakuna atakaefanya kazi bila kuwa na malengo. Ongeza bidii kaka muro one day yes bro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna lolote mapovu yanawatoka tu, mnaambiwa ukirusha jiwe gizani ukasikia kelele tu ujue limempata. Lumumba limewapata hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee, vijana wa lumumba bhana, lumumba siku hizi ni London? ?? Mnachekesha sanaaaaaa, haya hao watu wenu mliowatuma kuongea na Barrick waambieni watuletee mrejesho tusikie wanalipa kiasi gan hao Barrick kwa watanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.