Uwe na fikira yakinifu KATIBU Mkuu Holace Kolimba alipokengeuka akajitoa, alipoitwa, kuhojiwa mpaka kifo chake CCM ilikufa? Achaneni na fikira mgando za baadhi MaDr wa Udsm Kama Dr Bana. Kimtazamo MAWAZO yake kisiasa amezingwa na U-CCM na Wala si Ueledi. Ametoa AUTHORITY/Research ya utabiri wa...
Kati ya vyuo hivyo nilishakutana na Cheti kutoka moja ya kozi za IT kikiwa hakina SERIAL NUMBER. Cheti hicho ni HALISI kabisa kutoka chuoni. Hii ni sahihi?
Tatizo Wabongo tunadharau vyetu kwani kiasi kikubwa Madawa KARIBU yote ni matokeo ya utafiti wa Haya Haya tunayoyadharau. Tatizo kubwa ni Biashara na Ajira inayolipa wakati ni usiri MTUPU. AHSANTENI mliotoa matibabu bure!!!!
Utumiaji wa Dollar unaendekezwa na hai HAO Viongozi kwani Mahotelini wanalipia kwa Fedha gani? Waache kujishaua kwa walalahoi wasiojua hata ubadilishwaji wa hizo pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.