Recent content by manufacturer

  1. M

    Tamko la Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC) kumtaka Freeman Mbowe kuomba radhi

    Ni vyema kwanza TBC ieleze umma kwa nini ubora wa matangazo yao siku hiyo ulikuwa ni hafifu sana na kukatika mara kwa mara. Lakini mikutano ya watu wengine ubora unakuwa mzuri. Ni kwa nini kama siyo hujuma?
  2. M

    Imepita miaka 37 Hatujajenga kiwanda cha pampu hakika Kim II-sung atakuwa anasikitika kaburini

    Kuanzisha kiwanda cha kutengeneza pampu kunahitaji mnyororo wa kiwanda cha chuma. Liganga ya chuma imepigwa danadana. Matokeo yake tunaweza kuwa waunganishaji wa vipuri vya pampu lakini siyo watengeneza pampu bila kuchimba wenyewe chuma. Mfano mwingine, TZ tungetumia chuma ya Liganga kujenga...
  3. M

    Ni kweli Mkapa alianzisha TRA?

    TRA, URA na KRA yote yalianzishwa pamoja 1995 kwa msaada toka Benki ya dunia, ikiwa ni fedha ya msaada toka kwa mabeberu.
  4. M

    Je, mpaka wa Tanzania na Uganda umefunguliwa?

    Mpaka wa TZ na UG bado umefungwa kwa shuguli zote za kijamii. Isipokuwa kwa usafirishaji kutumia gari ya mizigo. Gari toka Tzz itaingia Ug ikiwa na Dreva aliyepimwa bila tingo. Kuingia Tz kutoka Ug hamna shida kubwa. Abiria mwenye shida sana kuingia Ug anatumia njia ya panya kuvuka mpaka a kisha...
  5. M

    Vipimo vya COVID19: Dr. Mwele na Dr. John Nkengasong(Africa CDC) walitumika kupotosha ukweli wa kisayansi (wasaka tonge kazini)

    Nimeuliza uhalisia kupima virus kutoka nyama pori ya uchina, mahali korona ilipoanzia na sisi tunaopima mbuzi. Kwangu mimi naona kama China wamepata kirusi toka nyama pori ni sahihi hata sisi kupata kirusi kwenye mbuzi. Naomba ufafanuzi wa biotechnology? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Vipimo vya COVID19: Dr. Mwele na Dr. John Nkengasong(Africa CDC) walitumika kupotosha ukweli wa kisayansi (wasaka tonge kazini)

    Ni swala la ufahamu, kwamba chanzo cha korona huko China ni nyama pori. Hapa kwetu unapopima mbuzi ukakuta anayo korona, si ni sawa na China waliopima nyama pori? Naomba jibu toka mtoa mada. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Bahati yetu ni Jua, Unyevunyevu (humidity) na Joto - Corona hatambi

    Maelezo yana mshiko na tusubili wakati utasema. Wenzetu wataimarisha msemo wa Africa is always summer. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom