MAJIMBO YALIYOKUWA YA WAZI KWA CHADEMA KABLA YA Agosti 2015
-Mbulu mjini
-Mbulu vijijini
-Hanang
-Babati vijijini
Leo YAMEWAPONYOKA CHADEMA!
Ikumbukwe majimbo haya yalimchagua Dr Slaa mwaka 2010.
Iliwawia vigumu wagombea wa Chadema kumnadi Lowassa katika eneo hili. Chadema ilijifariji na ujio wa...
MAJIMBO YALIYOKUWA YA WAZI KWA CHADEMA KABLA YA Agosti 2015
-Mbulu mjini
-Mbulu vijijini
-Hanang
-Babati vijijini
Leo YAMEWAPONYOKA CHADEMA!
Ikumbukwe majimbo haya yalimchagua Dr Slaa mwaka 2010.
Iliwawia vigumu wagombea wa Chadema kumnadi Lowassa katika eneo hili. Chadema ilijifariji na ujio...
Nimefanya tathmini ya hali ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu katika mkoa wa Manyara.
Nimewazingatia wagombea wawili Edward Lowassa wa Chadema na John Magufuli wa CCM.
Katika tathmini yangu nimechunguza kwa kina nguvu na udhaifu wa kila mgombea!
NGUVU YA LOWASSA!
- Lowasa anaungwa mkono na vijana...
Nimeinasa Sehemu.........
Natabiri Majimbo haya mkoani Manyara yatakwenda Chadema.
1. Babati Vijijini 60% (Margin of error 5%). Mgombea wa CCM Jitu Soni hata ndani ya chama chake anapigwa vita.
2. Mbulu Vijijini 56% (Margin of error 2%). Hapa Chadema ni moja. Hata mshindi wa kura za maoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.