Recent content by MANTOGOYOKA

  1. M

    Ubaguzi: Machotara Hizbu, Zanzibar ni nchi ya Waafrika

    Mkuu ni wewe?... kumbe kuna wakati unakuwa mzima na mwenye uelewa mzuri kabisa... hongera sana kwa kuuona ukweli
  2. M

    WANA JF TUTAKIANE KHERI YA MWAKA MPYA.....

    Nawatakieni Watanzania wenzangu na wana JF wote heri ya mwaka mpya wa 2016... Mwenyezi Mungu...muumba mbingu na nchi...yeye awezaye yote, Atujalie Neema, hekima na baraka tele katika mwaka wa 2016... Atufanyie wepesi katika Yale yaliyo magumu. na atuwezeshe tuenende katika njia ile...
  3. M

    Basi bhana na mimi nmekuwa mjumbe hapa

    Asante sana kwa ukaribisho ndugu yangu spider..!!
  4. M

    Basi bhana na mimi nmekuwa mjumbe hapa

    Nashukuru sana mkuu....pamoja sana
  5. M

    Basi bhana na mimi nmekuwa mjumbe hapa

    Wakuu nawaombeni mnikaribishe twende kazi...Mimi huwa nalima potepote..mbele na nyuma sina utani kabisa hasa nnapokuwa kazini...
Back
Top Bottom