Nawatakieni Watanzania wenzangu na wana JF wote heri ya mwaka mpya wa 2016...
Mwenyezi Mungu...muumba mbingu na nchi...yeye awezaye yote, Atujalie Neema, hekima na baraka tele katika mwaka wa 2016...
Atufanyie wepesi katika Yale yaliyo magumu. na atuwezeshe tuenende katika njia ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.