Tatizo lako wewe Hammy-D. aliyekuroga alishakufa, kwahio huwezi kupona hicho kifafa chako, na zaid naona povu ndo linazid kukutoka tuu. Utakoroma sana mwaka huu, yan mpaka October utakua hujitambui kabsaa...
Tena bora wauchanechane na kuuteketeza kwa moto, maana huo mswada wa mahakama ya kadhi hauna ubora na viwango vinavyokidhi matakwa ya kulinda amani nchini.
Safari yetu ya Matumaini haiwezi kuzuiliwa na watu wanao ropoka na kubwabwaja hovyo, ndio maana huwa tunawapuuza kwani tukiwajibu tutakua tumewapa heshima. Mh Lowasa ndio chaguo la wengi na tumaini la watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.