Recent content by manmoon

  1. M

    Picha: Mwanajeshi wa kike ya IDF aliyeuawa jana na Wapalestina

    Mrembo kama huyo mtutu wa nini? ni mwendo wa mateso tu mpaka masihi atakaporudi
  2. M

    Wadada wanapenda watu wa namna hii kwenye mahusiano

    Mbn kama wamepigwa sindano za kisasa
  3. M

    Mavazi ya Kiongozi Mkuu wa Wasabato Duniani yamenikwaza nahamia dini nyingine

    Kiongozi mkuu wa kanisa ni muumba wa mbingu na nchi? Kama umekurupukia dini acha kulia lia humu
  4. M

    Wanaume tuongee na Madaktari

    Wiki sita huyo mzazi kama alichanwa ili kuongezewa njia haitoshi usidanganye watu Ili mzazi awe tayari kwa ajili ya ngono kuna vitu vikuu ambavyo kimila na kibaiolojia lazima vizingatiwe 1.misuli ya tumbo kurudi katika hali yake, hii inachukua miezi 6 hadi 8 inategemeana na mtu 2.misuli ya...
  5. M

    Badala ya kupunguza bei ya vifurushi, Azam TV yapunguza Channel tunazozipenda

    Hivi kwa dunia hii ya teknolojia bado tu mnalipia vifurushi vya tv au antena??? Mbona ni ushambaaaaa!!!!!! Ongea na watu vizuri dunia hii ina mengi wajanja ndio wanafaidi
  6. M

    Wanaume tuongee na Madaktari

    Tatizo mwanamke kajifungua ndani ya miezi 3 mnaanza kupiga game!!! Waacheni wapumzike hata miezi 9 ili sehemu zake ziimarike kama zamani Tamaa zitawaponza mnawabaka wamama wachanga wanaonyonyesha halafu mnakuja hapa kulalamika
  7. M

    "Ntamwambia Baba" neno kwa mtoto huyu limeniumiza sana

    Wajumbe natumai mu kheri wa afya... Neno hili limetamkwa na mtoto wa single mother ambae tunaishi nae hapa jirani. Nimelitafakari na likaniumiza kwa sababu dogo huyu anaishi na mama na bibi yake tu. Nilitegemea neno hili angelisema mtoto ambea anaishi angalau na baba yake mzazi au mlezi ila...
  8. M

    Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

    Kwa mchezo huu wa akaunti za watu kufungwa kisa ina hela nyingi naona haina afya kiuchumi Bora watu waendelee kuficha pesa zao uswizi ili ziwafaidishe watu wa nje kwa sababu serikali hitaki kuona wananchi wake wanatajirika Mbuzi wa maskini hazai na akizaa anazaa dume ndiyo haya ya kufatana...
  9. M

    Wanaume mliopo kwenye ndoa hua mnafanya nini kutatua changamoto ya kunyimwa unyumba?

    Mkeo ana mimba ya miezi 4 bado tu unataka kumbambia??? Kizazi cha Karne hii ndio maana tunazaa watoto wanaopenda Sana ngono Kwenye kipindi cha ujauzito kuna mabadiliko mengi sana yanatokea ndio maana wazee wetu walioa wanawake wengi kipindi hicho Mpe mkeo nafasi Kama unahisi uwezi vumilia owa...
  10. M

    Serikali itoe tamko kuhusu kugharamia Fedha za Elimu Bure shuleni

    Hii jamiiforum kwa mwendo huu watu wengi tutakuwa tunapitaa hivii!!! Kuna makada wengi wa ssm hapa na maafisa wa ssm ambao mada Kama hizi wanazikomalia kuhoji wakati hii ni platform ya habari na changamoto naendelea kuwakumbusha kwamba jamiiforum sio kijiwe Cha wanywaji wa kahawa na kashata za...
  11. M

    Kassim Majaliwa enzi za Magufuli alikuwa akiogopwa kama radi, wa sasa anapuyanga tu

    Dhambi ya kuwadanganya watanzania itamuandama popote aendapo
  12. M

    Kaburi lililofunikwa na zege halina tofauti na shimo la choo!

    Huu mtindo wa kujenga kaburi kwa ndani kisha kufunika kaburi kwa zege sioni kama limekaa kiafya/kiimara zaidi. Kwa sababu zege ambayo imechanganywa na simenti life span yake haifiki miaka 60, kwa hiyo kaburi lolote ambalo limefunikwa na zege halafu ndani halijajazwa udongo/mchanga litadumu tu...
  13. M

    Waziri ataka wanaume wanaobaka wahasiwe

    Pumba tu viongozi wenyewe wamekaa kiharakati zaidi badala ya uhalisia
  14. M

    Majaliwa aondolewe Jeshi la Zimamoto na arudishe zawadi zote alizopewa

    Hivi majaliwa alipewa zawadi na serikali kwa kufungua mlango wa ndege au kwa kuokoa watu kutoka kwenye ajali Yaani mawazo yenu mgando yamejikita kwenye tendo la kufungua mlango wa ndege badala ya kujikita kwenye tendo la uokoaji
  15. M

    Haya ndiyo Mapepo yanayomzuia Yesu asirudi kwa mara ya pili

    Malaika au mapepo yaliyokuwa yanafanya matendo kama hayo ukisoma kitabu Cha mwanzo, Mungu aliwafungia kwenye magereza ya Giza wakisubiria hukumu ya mwisho
Back
Top Bottom