Mwanaume kumpatia mwanamke kitu sio kosa ila inakuja pale unapokuwa na mahusiano huwezi kupata kitu mpk pesa itumike hapo ndo tunasema toa pesa upate kitu au mkono mtupu haulambwi?Lakini pale unapokuwa na mahusiano na mpz wako anakusaidia mambo tofauti tofauti na mengine hata yasiyohitaji pesa...
Zurie
Mapenzi ya kweli yapo sana na unaweza kuyapata hata kwa mwanaume mwenye hela.Lakini mapenzi hayo yanatengenezwa kuanzia mwanzo lazima ujue unaingia kwenye mahusiano ya namna gani?
Mwanamke lazima uwe clean tabia za kimjini mjini uziache,uongo,tamaa na kujiona wewe ni bora hakuna zaidi...
Facts words,sisi kama mabinti tunahitaji kuwa na familia baadae tena imara anza sasa hv punguza marafiki wasio na faida,acha kulinganisha masuhiano yako na ya marafiki zako tambua wanaume nibtofauti na kila aliyeanzisha mahusiano kulikuwa na makubaliano,Acha kuiga kila kitu na tamaa zisizo na...
Hahahaaa hii nayo ni tabia sugu ila wanaume wanatengeneza sana mazingira ya fedha kwa wanawake ndio maana wengi wanafeliiiiii na kuona wanawake wote ni type moja
Asantr Mung niko na 24 im happy niko kwenye gud relationship natengeneza furaha katika mahusiano yangu pesa nimeipa jukumu letu sote kutafuta pamoja na kusaidiana katika nyenjo mbalimbali na pia kutengeneza future
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.