Asanteni wakuu Leo ndo tumempumzisha baba ktk nyumba yake ya milele!shukrani kwa wote kwa ushauri na pole mlizonipa hakika mmekuwa faraja kwangu mbarikiwe sana
Asante!Kwasasa kuna muda anafungua macho na kunyanyua mikono na miguu shida bado kwenye upumuaji hawezi kupumua bila mashine ! Kuhusu sukari iko vizuri hana tatizo la sukari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.