Hata siyo sahii Diwani Athuman yupo makao makuu tunaye msikia kwenye vyombo vya habari kwa Mbeya anaitwa Ahamed.Msangi hizo kuna mabadiliko makubwa nahisi hizi ni za siku nyingi .
Ina onekana hii ramani iliuzwa aidha na mtu wa wa Dar or kigoma huko ndio maana wakawasubiria ubungo wala pia hata kwenye gari kutokan na movement zako unaweza ukasababisha ukatiliwa mashaka na taarifa zitakatolewa na zikawa na matunda.
Hawa askari wanapaswa kuimarisha doria ai way pia tusiishie kulaumu upande mmoja mara nyingine hawa madera au matingo wao wanahusika kuandaa mpango mzima kindi cha nyuma mwaka jana mwezi wa ; 11"mpakani mwa Singida na ( W) ya Hanang lilotokea tukio la kinyama na muhusika alikuwa Dereva.
Jamani kwa wale mlioko Moro tupeni taarifa za ajali inayosemekana imetokea maeneo ya Mikese ikiusisha Malori mawili na inasemekana yote yamewaka moto
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.