Huyu manzi ana kimavi si hapo tu alipo ila alipotoka kabla ya hapo alikuwa anachukiwa kinoma,ni hasla omba omba,ana mashauzi kama ana kunya keki,na anadharau utadhani ni eloni maski,kifupi mbali na Ile sauti nzuri ana damu ya kunguni ila pia mganga itakuwa kachezesha vibuyu maana si kwa chuki za...
Ushaambiwa hizo topiki hazihusiki kwenye Muziki wa Mungu ili mradi watu wamebarikiwa.Topic weka Kwenye miziki yenu huko mfano ule wa zuchu na whozo nimesikia yule mwiko wa pilau anamwambia mwanaume akaoshe map*mbu
Sijawahi msikiliza huyu jamaa hadi Leo hii,Kwa hiyo ndio anaongea hivyo?kazaliwa unguja Nini?Halafu achana na mambo ya kuwa good upstairs hapa tunazungumzia mafuta,na kama mwanaume anapakwa mafuta ili apewe fame huyo sio mpuuzi?
Imagine mtu mzima unazungumza utumbo hivi?Tushafamu ukiingia jumba la didy anafunga mlango,Cent hakuweza kukimbia sembuse nyie na vimatako vyenu?Halafu Didi tunajua ndio mtoa tuzo na nominees za Bet,huyo msanii wako nashangaa anaimba ushuzi na ashakuwa nominated mara kibao,mwenyewe nlikuwa...
Mwenye Enzi Mungu yupo kazini na mtaaibika sana,yameanza ya Diddy na kipondo Cha mbeya ni trailer.Mna haribu watoto wasio na hatia Kwa nyimbo zenu za ushuzi kwanini?Halafu mnajifanya kumtaja mungu wenu mnaomjua nyie
Sasa kama wewe wasema hivyo wakristo waseme nn?maana sijaona dini iliyosifiwa na jamaa kama uislam na Quran.Nyie ndio wale wafia dini na wagumu kujifunza,tulitakiwa tuchemke ni sisi wakristo ambapo Kuna sehemu kasema hata sio dini ya kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.