Recent content by Mangi wa Rombo

  1. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Kitendawili cha "mkono wa kwaheri": Kilio cha Wastaafu 600 wa Shirika la Reli (TRC)

    Inasikitisha na kutia simanzi kuona wazee wetu, waliotumikia nchi hii kwa uaminifu kwa zaidi ya mimiaka 30, wakisota mtaani bila kupata stahiki zao za kisheria. Hali ya wastaafu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) walioajiriwa na kustaafu kati ya mwaka 2012 na 2022 ni ya kuhuzunisha mno. Hoja za...
  2. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mteja - Madini ya Quartz MOQ 1 Tonne

    Ahsante
  3. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mteja - Madini ya Quartz MOQ 1 Tonne

    Habari! Kama kichwa cha habari kinavojieleza, natafuta wateja wa madini ya quartz kwa mzigo wa kuanzia tani moja (1 Tonne) Quartz hizi zinapatikana kwa mfumo wa Mapande (hii ni quartz ambayo haina umbo maaalumu yani ni mwamba ambao tunaukuta wote ukiwa kioo kwa kuwa mwamba huu ni mkubwa...
  4. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Ahsante kwa taarifa ila hizo zitanicost sana ndugu yangu, ukizingatia haka ka joto ka TZ-KE saa hiii🤣
  5. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Ahsante sana mkuu!
  6. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Unaweza nipatia pia ndugu yangu! Kama usafiri utaonekana reasonable, naweza chukua hata huko! Nahitaji kama pisi 225 so inaweza ikawa good option pia
  7. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Angalau Mita 2.5 Mkuu, na inaweza ikawa any, Ingawaje napendelea zaidi nguzo kama za Tanesco ila ziwe fupi
  8. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Tafadhali husika na kicha cha habari hapo juu! Natafuta nguzo za miti (Wooden Poles) Pisi 225 Kwa ajili ya kuzungushia uzio shambani (Nimeambatanisha picha hapo chini). Natafuta zile ambazo zina dawa kabisa manake shamba lina mchwa kweliii! Ningependelea kama kuna msambazaji ambaye yupo...
  9. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Tafadhali husika na kicha cha habari hapo juu! Natafuta nguzo za miti (Wooden Poles) Kwa ajili ya kuzungushia uzio shambani (Nimeambatanisha picha hapo chini). Natafuta zile ambazo zina dawa kabisa manake shamba lina mchwa kweliii! Ningependelea kama kuna msambazaji ambaye yupo Morogoro au...
  10. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Tunauza Mkaa kwa bei ya Jumla - Dar es Salaam , Madale.

    Mkuu tunapatikana, labda changamoto ya mtandao tu! Tunashusha mzigo jumanne karibu sana! Na mvua hizi sis tu ndo tuna mzigo wa uhakika mkuu
  11. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Tunauza Mkaa kwa bei ya Jumla - Dar es Salaam , Madale.

    Habari! Sisi ni wazalishaji na wauzaji wa mkaa wa kawaida. Tuna vibali vyote vya wakala wa misitu, na mkaa wetu unazalishwa kutoka kwenye misitu endelevu iliyo ruhusiwa kuvunwa. Gunia zetu zimeshonwa vizuri na haziendi zikidondosha mkaa, tunatumia mifuko mipya na kamba madhububuti kusuka...
  12. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Nadizain posters za social media kwa gharama nafuu

    Mkuu, nataka posters lakini sio kwa ajili ya social media, ni kwa ajili ya LCD Floor Standing 49 Inch Advertising Player ya dukani kwangu.. iko kama hii kwa picha hapo chini... 49 inchi kwa kusimama, nataka both Pictures and GIFs... Inawezekana?
  13. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Taratibu zote za Kuchoma mkaa na kuusafirisha kwa ajiri ya biashara

    Habari! Nimefanikiwa kuanza biashara hii recent, hizi ndo hatua nilizopitia: 1. Kwanza kabisa unatakiwa kupata kibali cha uvunaji wa mazao ya misitu kutoka Halmashaur husika shamba lako lilipo, na hicho kibali kinaanza kwa wewe kupata ruhusa kutoka serikali ya kijiji/kata, ambapo watakaa na...
  14. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Bajaji TVS used no D zinauzwa 4m

    Mkuu nina Mil 3 kwa kila moja... Kama upo tayari niambie fundi aje acheki chap
Back
Top Bottom