Recent content by Mangi wa Rombo

  1. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Msaada BOQ Mnara wa Tank La Maji (Nalipia)

    Sijawahi kufikiria juu ya hili. Nitalifanyia research kujua faida na hasara zake labda kwenye ujenzi mwingine nita consider hii option. Kwa sasa nilipendelea mnara kutokana na project yenyewe! Ni sehem najenga apartments na zitakuwa na ghorofa moja so nilishauriwa kuweka mnara just in case hata...
  2. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Msaada BOQ Mnara wa Tank La Maji (Nalipia)

    Ahsanteni wote mlionicheki! Nimefanikiwa kupata BOQ na fundi pia! Ahsanteni! Nitawapa picha ujenzi ukikamilika!!!
  3. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Msaada BOQ Mnara wa Tank La Maji (Nalipia)

    Nimekucheki whatsap
  4. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Msaada BOQ Mnara wa Tank La Maji (Nalipia)

    3M x 6M
  5. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Msaada BOQ Mnara wa Tank La Maji (Nalipia)

    Habari! Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Natafuta fundi wa kunitengenezea orodha ya vifaa (Bill of Materials) au BOQ ikijumlisha gharama kwa ajili ya ujenzi wa mnara wa tank la maji kama inavoonekana kwenye picha hizi Nitalipia kwa huduma hii sio bure! Nicheki DM au weka WhatsApp...
  6. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Kitendawili cha "mkono wa kwaheri": Kilio cha Wastaafu 600 wa Shirika la Reli (TRC)

    Inasikitisha na kutia simanzi kuona wazee wetu, waliotumikia nchi hii kwa uaminifu kwa zaidi ya mimiaka 30, wakisota mtaani bila kupata stahiki zao za kisheria. Hali ya wastaafu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) walioajiriwa na kustaafu kati ya mwaka 2012 na 2022 ni ya kuhuzunisha mno. Hoja za...
  7. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mteja - Madini ya Quartz MOQ 1 Tonne

    Ahsante
  8. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mteja - Madini ya Quartz MOQ 1 Tonne

    Habari! Kama kichwa cha habari kinavojieleza, natafuta wateja wa madini ya quartz kwa mzigo wa kuanzia tani moja (1 Tonne) Quartz hizi zinapatikana kwa mfumo wa Mapande (hii ni quartz ambayo haina umbo maaalumu yani ni mwamba ambao tunaukuta wote ukiwa kioo kwa kuwa mwamba huu ni mkubwa...
  9. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Ahsante kwa taarifa ila hizo zitanicost sana ndugu yangu, ukizingatia haka ka joto ka TZ-KE saa hiii🤣
  10. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Ahsante sana mkuu!
  11. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Unaweza nipatia pia ndugu yangu! Kama usafiri utaonekana reasonable, naweza chukua hata huko! Nahitaji kama pisi 225 so inaweza ikawa good option pia
  12. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Angalau Mita 2.5 Mkuu, na inaweza ikawa any, Ingawaje napendelea zaidi nguzo kama za Tanesco ila ziwe fupi
  13. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Tafadhali husika na kicha cha habari hapo juu! Natafuta nguzo za miti (Wooden Poles) Pisi 225 Kwa ajili ya kuzungushia uzio shambani (Nimeambatanisha picha hapo chini). Natafuta zile ambazo zina dawa kabisa manake shamba lina mchwa kweliii! Ningependelea kama kuna msambazaji ambaye yupo...
  14. Mangi wa Rombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nguzo za miti (Wooden Poles) kwa ajili ya kuzungushia uzio

    Tafadhali husika na kicha cha habari hapo juu! Natafuta nguzo za miti (Wooden Poles) Kwa ajili ya kuzungushia uzio shambani (Nimeambatanisha picha hapo chini). Natafuta zile ambazo zina dawa kabisa manake shamba lina mchwa kweliii! Ningependelea kama kuna msambazaji ambaye yupo Morogoro au...
Back
Top Bottom