Recent content by mangi gezaulole

  1. mangi gezaulole

    Ronald Opus death: Kifo chenye utata mkubwa kuwahi kutokea

    Daa intelejensia inanifanya niwe kijana mwenye kujua mengi ahsante waleta mada pia ahsanteni waxhangiaji
  2. mangi gezaulole

    Hivi Jeshi la Tanzania lina Special Forces?

    Lazima wapo ila jina wanalotumia ndo shida ukisikia usalama wa taifa nimiongoni mwa special force even in specific issues broo
  3. mangi gezaulole

    Nimeumia sana! Nisamehe E, sitakuchafua tena

    Pole sana kuwa series sana si suluhisho ila mwonyeshe jinsi unampenda mkeo kwa dhati yeye ndio hakimu wa kwanza kwako,pia jitahid wakati mwingine kumwelezea nikiasi gani ulikuwa mtulivu mpaka kumpata huyo mkeo na uwe vunamweleza sifa za mke wako unautofauti kati Yake na wanawake wengine ili...
  4. mangi gezaulole

    Kanisa Katoliki mnataka kutuharibia nchi?

    Umesema kweli lakini nawe umetoka nje ya majukumu ya kanisa mambo hayo hayawausu yanayowahusu mi kuimiza upendo,upendo wa kweli kwa muumba,kukemea mambo yanayotofautisha watu kwenye jamii,elimu iliyobora na kuwatia Moyo viongozi wawe na hofu ya mungu tuuuuuuuu.
  5. mangi gezaulole

    Je, vita dhidi ya Madawa ya Kulevya imetuzidi nguvu?!

    Taifa lipo kwenye mpasuko mkubwa upotevu wa vijana ni upotevu wa nguvu kazi ya taifa tunaitaji kupambana nayo hata wazazi na serikali kwa ujumla
  6. mangi gezaulole

    Je, vita dhidi ya Madawa ya Kulevya imetuzidi nguvu?!

    Kwenye swala la madawa ya kulevya hamnaga kichwa ngumu hata siku moja ukipotea usije kulalama kama wenzako wakima benzino
Back
Top Bottom