Mwenyekiti wa ZEC Ameokoa amani iliyokuwa inapotea kidogo kidogo Zanzibar kwa uwamuz wao ZEC wa kufuta matokeo, kwa hali iliyokuwa km angetangazwa CUF or CCM ndio mshindi amani isingekuwepo lkn tokea patangazwe uchaguzi kufutwa Zanzibar imerud ktk hali yake ya amani na wazanzibar wote...
Kitendo alichokifanya mgombea urais Zanzibar kwa ticket ya CUF kutangaza kura za Urais alizoletewa na mawakala wake kisheria ana haki ya kushtakiwa kwa sababu ile ni kazi ya ZEC na ZEC ndio wenye mamlaka ya kufanya vile na si mtu mwingine yeyote, km jana tulivyomsikia Jaji Lubuva aliposema...
Hao wote wametengezwa na mmarekani kufanya hv muislam wa kwel hawez kufanya hv, mfn mzur tizama Syria wa ami walikuwa wanaungwa mkono na marekani leo hii hao hao waasi ndio wamekuwa Islamic State, Ukitizama Boko garam silaha wanapata wapi akili itanue umebase ktk udini na umeweke dhana kuwa...
Serikali haina budi kutumia nguvu yao ktk kuipitisha MAHAKAMA YA KADHI bila ya kusikiliza matakwa ya wakristo kwa kuwa kila Mtanzania ana haki ya kuikataa katiba ama kuikubali kwa hy wakristo mnaoungana na mapadri wenu tuonane ktk kupiga kura na serikali tendeni haki hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.