Nauliza fundi mzuri wa iphone6

Nauliza fundi mzuri wa iphone6

Hiyo inaitwa physical damage. Warranty center watacharge extra lakini wako more efficient na wameaminiwa na manufacturer kuliko hao mafundi makanjanja wa mtaani.

Mkuu wewe ndio umemshauri vizuri. Nashangaa anataka kwenda mitaani badala ya kupeleka service center ambako pamoja na kwamba atalipia lakini at least ana uhakika itarekebishwa vizuri sasa sijui kwa nini hataki kwenda huko. MangaPwani usipeleke hiyo simu mitaani, labda kama na wewe uliinunua mitaani.
 
Last edited by a moderator:
Unajua matengenezo yanayohusisha warranty? kaipigisha chini mwenyewe halafu iwe covered na warranty? warranty inahusu defects za mtengenezaji pia warranty huwa ina period maalum kuanzia mwaka hadi miaka miwili

Ok ngafu nimekuelewa
 
Fresh nimetengeza kwa bei bt ni uhakika nw natumia na iko safi

Naomba uniPM gharama ili nikienda nimejiandaa.

Hata hivyo na screen imevunjika pia.

Nataka kuweka na battery mpya pia
 
Mimi nina iPhone 5S nimeichaji kuanzia saa sita usiku mpaka asubuhi. Tangu hiyo asubuhi screen touch haifanyi kazi. Tatizo ni nini? naomba mwenye ufahamu anijuze.
 
Jamaa yupo Mavuno House anaitwa Hillary namba yake ni 0717 956 685,ni technician mzur cnaa
 
Naomba uniPM gharama ili nikienda nimejiandaa.

Hata hivyo na screen imevunjika pia.

Nataka kuweka na battery mpya pia
Mcall hy 0717 956 685 anaitwa Hillary yupo Mavuno House posta mpya ukifika kwa sanamu la askar jingo la pinky
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom