Recent content by MANGANAATAU MATHITHINYANA

  1. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

    Sio tu kuwa imeandikwa "Kindezi" labda imeandikwa na Ndezi.
  2. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Polisi: Binti aliyefanyiwa ukatili yupo salama salimini, puuzieni wanaosema amekufa

    Uzushi wa aina hii ni jambo baya, lakini kwa mazingira ya kesi hii huu uzushi unaweza kuwa ni maono au ndoto za watu wenye nia njema, hivyo tahadhari za kumpatia ulinzi huyo binti zichukuliwe.
  3. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Sukari yaanza kuuzwa kama Bangi mtaani

    Ndio. Sukari ina madhara makubwa kuliko hata Bangi na cocaine. Kwa kuwa haiwezi kupigwa marufuku kwa sasa angalau serikali iongeze Kodi ili bei iwe juu zaidi. hii itapunguza matumizi yaliyokidhiri hasa kwenye vinywaji. Prof.Janabi na RC hawajakosea hata kidogo, ila wako mbele ya wakati. Sukari...
  4. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Hii picha inaongea nini?

    Mbona nimesikia kuwa ualimu wa kiswahili siku hizi ni dili maana nchi zote jirani zinaanza kufundisha kiswahili?
  5. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

    Hii ni sawa na kumpiga teke chura, unamwongezea kasi. Huko jela ndio kumejaa roho zinazohitaji wokovu. Bila shaka yoyote Mchungaji atapokea hiyo fursa adhimu kwa mikono miwili. Wenyewe wanasema, "fate" ikikutupia ndimu, ipokee kwa mikono mowili, ikamua na kutengeneza Juisi nzuri ya ndimu a.k.a...
  6. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    PreGE2025 NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura

    Tutaingia gharama za bure tu. Muarobaini ni Tume Huru ya Uchaguzi (Independent Electoral Commission) inayojitegemea, yenye watumishi wake yenyewe na matokeo ya wagombea wote yapingwe mahakakamani. Waangalizi wa Uchaguzi wa ndani na nje wawepo tangia kwenye kampeni mpaka kutangazwa kwa kura...
  7. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

    Hata Mwalimu Lwaitama aliwahi kutoa Takwimu za tafiti iliyofanywa na Taasisi fulani inayodhihisha uwepo wa wajinga na mataahira wasiofundishika.
  8. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

    Tungewapeleka magwiji wa sheria kama Mh. Chenge, Prof. Kabudi, Prof.Shivji na Dr.Nshalla angalau tungefurukuta. Vinginevyo tungewaajiri wanasheria maarufu wa huko huko.
  9. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

    Mtuhumiwa yeyote anayefikishwa Mahakamani ana haki ya kutetewa na wakili kama ana uwezo na kutetea watuhumiwa ndio kazi na jukumu la mawakili. Hata watuhumiwa wa mauaji serikali inawapatia mawakili wa kuwatetea wale wasio na uwezo.
  10. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Je, Meli ya Mizigo ya Urusi imetua Tanga? Je, haitaleta mtikisiko wa kidiplomasia?

    Kama haijaleta silaha kwenda kuchafua usalama wa DRC, sio tatizo kubwa kwani hata huko Ulaya na Marekani bado kuna makampuni ambayo bado yako Urusi.
  11. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Lissu Kuhamia ACT Wazalendo? Muda utaamua

    Sasa TL akihamia ACT kuna shida gani? Si bado yuko chama cha upinzani ? Mbona wenzake wamehamia chama tawala hapakuwa na shida yoyote. Kwenye Siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
  12. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Serikali yaanza ujenzi wa nyumba mpya ya Hayati Magufuli jijini Dar es Salaam kama Rais Mstaafu

    Kama kuna sheria ya namna hiyo, inabidi ifutwe haraka sana pamoja na ile inayowapa kinga kwa makosa wanayofanya kwa makusudi. Wapewe au wajengewe nyumba wakiwa hai, lakini hizo nyumba zibaki kuwa mali ya serikali wakifariki zirudi serikalini. Maraisi wetu na familia zao hawastahili kupata...
  13. MANGANAATAU MATHITHINYANA

    Rais Samia atoa bilioni 5.9 kuboresha afya ya mifugo

    Nimemsikia mama akiwasisitizia viongozi kuwa Urais ni taasisi, sasa iweje kila siku tunaambia kuwa katoa mabillioni kufanya hiki na kile, badala ya kutuambia kuwa serikali imetoa hela kutekeleza miradi hii? Wote tunafahamu kuwa Rais hana hela na hajawahi kuwa na hela tofauti na HH wa Zambia...
Back
Top Bottom