Ndugu mheshimiwa waziri Mwigulu Lameck Nchemba, ninafurahi kukuandikia barua hii fupi yenye swali moja ndani yake.
Muheshimiwa waziri Tozo hii katika miamala ya kibenki ni ya nini tena?.
Ukipata ujumbe naomba unijibu tafadhali.
She has become a loughing stock in the statehouse kila kitu mama mama, why not sister ?
Hivi anadhani raia wote anawazidi umri?
Propaganda za kijinga sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.