Iko hivi wanasiasa wanataka viongozi wa dini waje kwenye majukwaa yao kusifia utendaji wao, na mambo ya namna hiyo ila sio kukosoa? Wakikosolewa then dini na siasa? Issue ya bandari sio jambo dogo hata kidogo.
Kuruhusu? Au sijakuelewa vizuri? Ameruhusu nini ambacho kimekataliwa? Na amemruhusu nani? Kwa amri ipi? No wonder bado tunajengewa matundu ya vyoo hadi leo.
Hili uliloongea hapa ndio kitu mtu mweusi hataki kufanya, sisi tuishi extravagant hatutaki kujinyima ili tufanye maendeleo tutegemee wawekezaji wafanye, upo sahihi kabisa inawezekana kwa ku cut unnecessary spending. Hamna kitu hatuwezi fanya including usimamizi wa hiyo bandari. kikubwa hapa...
Ujinga ndugu yangu na labda ukosefu wa elimu, probably kwao wanaona sawa DP World kutunyonya sababu Dubai ni nchi ina waarabu ambao ni waislam, it's okay kwao. Its their brothers and sisters 😂😂😂😂😂
Wanasahau kwamba mapato ya bandari na bandari yanafaidisha watz wote bila kuangalia dini ya mtu na...
Nimecheksa sana, ingawa sio jibu nililokuwa nategemea. I truly wish to understand, angalia Mkapa hayupo, JPM na yeye hayupo, na kila kiongozi aliyepo na ajaye ataondoka. Mtu ukijua hili kwanini usihakikishe vizazi vijavyo vinakuta mambo bora zaidi? Sisi ni madudu kila siku jamani?
Kuna swali huwa najiulize sana I wish ningepata majibu, kwanini watu weusi huwa hatujipendi? Hatuangalii vizazi vyetu vijavyo? tunaishi kama sisi ndio watu wa mwisho kuwepo?
Hamna watu hatujielewi kama watu weusi, upo sahahi, watakuja mazwazwa watakwambia na yeye ni Mtanzania analipenda sana hili taifa. Hawa jamaa wamepora sana mali za taifa hili. Infact utajiri walio nao umetokana na wizi waliofanya toka enzi hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.