hey guys, jaman me naomba ufafanuzi kwa anayefaham hili,.•• inasemekana kuwa diploma in primary now ni BASIC TECHNICIAN certificate!" na inasomwa miaka 2 tuu na xio mitatu"! mweny kuelew zaid atujuze
mkuu hata mm niliskia nlipoenda chuo flan private mkuu was chuo akanambia vivyohvyo. na Leo pia nmeskia japo nacte hawajasema lolote, I think ndo maana kwenye tangazo lao LA tar 29july wamesema wanasubir mwongozo wa srkali!!""!
Wadau vipi,
Mimi nina division 3 ya 24, niliapply diploma in primary education, matokeo yake wakaniandikia "add qualifications" wakati nilishaziadd mwanzo!!!.
Naomba anayeelewa hili anisaidie tafadhali. Kingine pia kama sijachaguliwa naruhusiwa kuomba tena?? Na je nitalipia kama mwanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.