Recent content by Mandinga

  1. Mandinga

    Nataka kununua gari, ipi itafaa kati ya Kluger, Qashqai, Dualis ama Harrier Old Model

    Chukua huu ushauri... Achana na dualis, kama kigezo ni kupita popote chukua subaru
  2. Mandinga

    Nataka kununua gari, ipi itafaa kati ya Kluger, Qashqai, Dualis ama Harrier Old Model

    Na wewe upepo wa dualis umekuingia? Huo ni upepo tu kama ilivyokuwa kwa crown! Mimi namshauri anunue toyota kwa kigezo tu cha gharama za matengenezo zipo chini kuliko hizo nyingine! Hata dualis zimejaa siku hizi.
  3. Mandinga

    Naomba msaada wenu

    Endelea nao basi
  4. Mandinga

    Naomba kufahamishwa dawa zinazosaidia mfupa uliovunjika kuunga

    Waliniandikia Antibiotics ambazo nikitunia kwa siku 5 na dawa za maumivu mkuu
  5. Mandinga

    Naomba kufahamishwa dawa zinazosaidia mfupa uliovunjika kuunga

    😂😂😂😂 mkuu unanifanyia counselling... Sawa nimekubali
  6. Mandinga

    Naomba kufahamishwa dawa zinazosaidia mfupa uliovunjika kuunga

    Sure Mkuu, nimechukua 2 pack kama ulivyonishaur! Najiona nimechelewa pia kujua hizi dawa ila mungu atanisaidia tu..
  7. Mandinga

    Naomba kufahamishwa dawa zinazosaidia mfupa uliovunjika kuunga

    Mkuu nimezipata pale bariki bei yake ni 19,250/=
  8. Mandinga

    Naomba kufahamishwa dawa zinazosaidia mfupa uliovunjika kuunga

    Nipo tayari ila tatizo nipo mbali na kanda ya ziwa
  9. Mandinga

    Naomba kufahamishwa dawa zinazosaidia mfupa uliovunjika kuunga

    Sure mkuu... Na mm ndio nahangaika hivyo
Back
Top Bottom