Recent content by mandi13

  1. mandi13

    Viongozi wanaofaa na wasiofaa kuwa Marais mbeleni

    Ila magufuli ameshakufa mbona unaabudu mfu. Kwanini usiwe timu Samia. Au sukum gang inakutesa. Mimi cc mzalendo
  2. mandi13

    Rais Samia tusaidie Watanzania wote tuweze kumiliki ardhi Zanzibar

    Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ardhi ya Zanzibar itamilikiwa tu na mzanzibar. Ushauri wako Ni nzuri Ila upeleke kwa raisi wa Zanzibar ili aufanyie kazi. Raisi wa jamhuri Ni kumtesa tu mama wa watu.
  3. mandi13

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Kumbuka wasio na nchi ndo wanaongoza nchi.
  4. mandi13

    Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

    Serikali inajua Kama hakuwa msaliti ndo maana amewekwa kwenye orodha ya watakao lipwa. Usifuate mkumbo ndugu yangu. Mambo mengine tumia akili Kama Ni msaliti amemsaliti Nani. Duh! Watanzania kazi tunayo.
  5. mandi13

    Wazanzibar kuongoza Wizara/Taasisi zisizo za Muungano imekaaje kisheria?

    Binadamu tumeumbwa unique tofauti na wanyama wengine. Tutumie hata common sense Basi. Mzanzibar anaweza kuwa raisi wa Tanzania ambaye anaongoza , wizara zote, mikoa na wilaya. Inakuaje ashindwe kuteuliwa nafasi ya dc au rc? Wakati cheo Hiko Ni kidogo zaidi juu ya nafasi ya uraisi.
  6. mandi13

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    1.Tokea aondoke watumishi wameanza kupandishwa vyeo. 2. Tokea aondoke uamsho wameachiwa huru. 3. Tokea aondoke kukosoa serikali hakuna shida Tena. 4. Tokea aondoke Sheria zinafuatwa. 5. Tokea aondoke ukanda unapungua. 6. Tokea aondoke heshima ya ushirikiano wa kimataifa unazidi. Unaweza kuongezea
  7. mandi13

    Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

    Ameshachoka kubwabwaja! Yule ni Mwongo mwenye akili sifa za watu Hawa huchoka kuandika. Ninaimani ameshachoka kuandika mapambio
  8. mandi13

    Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

    Huyu jamaa alisahau ka riziki mafungu 7. Aliwaza riziki inatoka kwakwe tu.
  9. mandi13

    Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

    Nikweli but Mimi ningelikua raisi hao majaji wa marehemu ningaliwaondosha hivo hivo kwani mzizi wa muhimili wa raisi umekwenda mbali kukiko mihimili mengine. "Magufuli's voice" Hapo ndo tungeelewana.
  10. mandi13

    Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani

    milioni 100 kwa bilioni 2 bado ni wachache pia
  11. mandi13

    Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani

    w ameachiwa kwasabubu ALLAH (S.W) amepanga waachiwe.
  12. mandi13

    TANZIA Dkt. Muhammed Seif Khatib afariki dunia

    popote alipokufa ndo amekufa Allah amlaze pema peponi
  13. mandi13

    Kangi tupo pamoja na wewe ila CAG tupo pamoja zaidi

    Kwa hakika hakuna binadamu anaependa kukosolewa ama kuoneshwa mapungufu yake.Siasa ni field kama field nyingine. Kangi jua kwamba CAG yupo pamoja na wananchi walio wengi. Kwa kukujulisheni nyinyi wabunge wetu ni kwamba CAG anakubalika na wananchi wote sio tu waliokwenda shule hata wasiojua...
  14. mandi13

    Baraza la Maulid Tanga lampongeza Rais Magufuli. Mufti Mkuu akemea masuala ya ushoga

    kwani maandiko yao kuhusu ushoga yanasemaje?nijuze mkuu
Back
Top Bottom