Recent content by Mandela5599

  1. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Hivi Aggrey ana kazi gani ya kumuingizia kipato mpaka anataka kuoa?

    Hakuna lisilo wezekana kwa Mungu. Kubwa ni kuamini tu, Neno lake linasema " ...nitakurudishia marafufu vilivyo ibiwa, vilivyo liwa na nzige..." tunasali na wengi tu ambao Mungu aliwabadilisha na sasa wanafamilia zao. Usikatishe wengine tamaa
  2. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kwa aliyewai kununua tinga tinga fx robot

    Binafsi niliwahi kutumia tinga tinga robot ila kwa trade moja tu Kwenye comment section nilikutana na jamaa mmoja mkenya so nikamfata inbox akanipa contact tukawasiliana. Alinambia aniuzie copy ya tinga kwa $300 but nilichonga nae coz nlikua sina pesa akanipa hyo copy kwa $100 ili nikipiga...
  3. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

    Mungu ni Neno+Mungu ni roho= Neno ni Roho ...huwezi kuelewa vya rohoni kama haupo kiroho, bila uwezesho wa Roho Mtakatifu Biblia nikama kitabu cha stor tu Kuna tofauti ya Biblia na Biblia takatifu. Kila mtu anaweza kusoma Biblia, hata waganga sikuhizi wanakiwa nazo, hata wanaobishana...
  4. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Mtoto ana mwaka na miezi 7 na mama yake ana ujauzito ila afya ya mtoto kama inazorota

    Ushauri wako mzuri ila umemaliza kwa upuuzi kwa kushauri aue
  5. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anajiharibia mwenyewe

    Huyu hatapita kwenye kura za maoni ndani ya chama chake....na kama akipitishwa atakua na wakati mgumu sana kushinda uchaguzi
  6. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ni magumu. Yamenifika kooni naomba ushauri

    Nyie watu mnataka mpendane tu kibinadamu. Haiwezekani ndugu Mungu ni upendo na mwanzo wa upendo wote. Kama haijaanzia kwa Mungu mtapatana na baada ya siku chache hali itarudi vilevile. Lazima Mungu aingilie kati kwanza Haya matatizo yanarithishwa pia, kilichotokea kwa wazazi wako kitatokea...
  7. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ni magumu. Yamenifika kooni naomba ushauri

    So unamchukia baba yako, right?
  8. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ni magumu. Yamenifika kooni naomba ushauri

    Kama ametoboa au kubarikiwa kwanini kaleta huku kuomba ushauri!, Hili jambo linamnyima amani ndio maana halitulii ndani yake. Kwenye msamaha we don't check who is right or wrong. Anatakiwa kusamsamehe mama yake na huo ndio mwanzo wa maisha yake kufunguliwa Ndugu hata mzazi wako ikiwa ndiye...
  9. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ni magumu. Yamenifika kooni naomba ushauri

    Pole sana Mimi naamini sana solution ya tatizo kutatuliwa rohoni kwanza kisha mwilini. Una roho ya kukataliwa na ulikataliwa tangu tumboni. Ukichunguza maisha yako utaona kwamba hujakataliwa na mama tu ila watu wengi around wewe wanakukataa pia Hata sasa hapo ulipo una wakati mgumu...
  10. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Ninaomba tafsiri ya ndoto hii

    Shida yako ni Ukristo au kupata solution ya jambo lako?
  11. Mandela5599

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya ndoto ya kurudi nyumba uliyokuwa unaishi zamani au kurudi kijijini kwenu

    Kuota unarudi kijijini ulipozaliwa, ulipoishi zamani. Umelala au kuingia kwenye nyumba ya zamani ya kijijini kwenu ambapo pengine hiyo nyumba haipo tena. Kuota upo kijijini kwenu na kuona unapitia mazingira flani huko maana yake ni kwamba; Matatizo ulionayo kwa wakati huo chanzo chake ni huko...
Back
Top Bottom