Recent content by mandawa

  1. mandawa

    GE2025 Kenani Kihongosi: Kusafirisha watu ni hoja dhaifu hatuna muda kuijibu

    Sikuzote ukiongea kitu kisichotoka moyoni...hata midomo inagoma kutoa ushirikiano....tushukuru mwenyekiti kajisemea ukweli😁😁
  2. mandawa

    Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Ubinafsi ..hamna umoja, kila mtu anataka awe superstar😁
  3. mandawa

    Polepole episode 5 ni dk 50 zijazo ila anaweza kuwahi pia

    Dah...yaani minshakua teja kwa dozinza polepole...asipoonekana..sijui hi hali ya mdebwedo ntaiondoaje😁😁
  4. mandawa

    Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao

    Kwa hiyo na yeye ni kajukuunau katoto ka wanamtandao😁 Pia nimeona kumbe wako wengi waliowekwa ktk system na wanamtandao...soma Uzi huu hapa chini uone jinsi watu walivyoingizwa ktk serikali na RA na team....hata Bash jamani kumbe alikua mfanyakazi wake ktk moja ya kampuni ya habari ...kweli...
  5. mandawa

    VIDEO: David Kafulila, Ezekiel Kamwaga, Maggid Mjengwa na Said Miraji wachambua mambo makubwa ya nchi yakiwemo ya H.Polepole

    Huvi spana za polepole xinavotutia hasira unadhani tutakuelewa kweli, kstetee ugali wako kwingine. .watu wako busy na ukombozi wa nchi!
  6. mandawa

    Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

    🤣🤣🤣🤣🤣Kaka shkamooo! Kirusi hiki hatareeeeee
  7. mandawa

    DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

    Sawa , My advice, tumia muda kutuambia juu ya hiyo dini Yako nzuri...sio kukesha kusema za wenzenu.....! Sitatumia muda kujibu hoja zako bse nimefunzwa na Bwana ktk: Matthew 7:6 [6]Give not that which is holy unto the dogs, neither cast ye your pearls before swine, lest they trample them under...
  8. mandawa

    GE2025 Polepole: Mwaka huu hakuna uchaguzi, ni CCM VS CCM, CCM na ACT-Wazalendo ni kitu kimoja!

    Ila utube, ista na x watu wamesikia...hata media zikimute watu washasikia na vile wabongo umbeya ..washatangaziana😁😁
  9. mandawa

    Jaji Mkuu Masaju: Kitu mnachoweza kumaliza kwa siku 2 mnasema mpaka miezi 4. Kauli ya mbiu ya haki sawa kwa wote kwa wakati ifuteni

    Bora nimwamini mshika Dola halisi.... kuliko huyu...maana kile ninachokiona na kusikia Sasa ...idara hii ya huenda inamilikuwa na mtu yeyote https://youtu.be/ecUQI3DPu7c?feature=shared Mungu iponye Tanzania!!
  10. mandawa

    Asante sana Polepole hili ulilozingumza leo ni zito sana umelisanua Taifa juu ya Chaguzi feki, na vyama feki

    Wiki Jana chauma walivalisha watu t-shirt wengii kule tabata ktk mikutano, ingawa washangiliaji walikua kiduchu, Sasa baada ya taarifa hizi na waza hivin hata mtu akipewa t-shirt ya bure atavaa kweli?😁😁 Aibu Gani hii!
  11. mandawa

    Mbona habari ya Polepole ya kuiba kura haipewei airtime? Ina maana media zote zimeshikiliwa na CCM?

    Rejea katibu alisemaje ktk harambee ya chama ..we vipi...😁
  12. mandawa

    Hakipo chama cha siasa nchini kinaweza kumsikiliza, kuamini na kutekeleza maagizo ya Humphrey Polepole

    Alafu utaona watu wanaenda kusikiliza sera ktk mikutano ya kampeni alooo😭😭
  13. mandawa

    Hakipo chama cha siasa nchini kinaweza kumsikiliza, kuamini na kutekeleza maagizo ya Humphrey Polepole

    Yaani hawa jamaa wametufanya mazombi kweli...embu fikiria kama lisemwalk na polepole ndio sahihi:, 1. Mifumo yakuhesabu kura ya NEC ni Yao 2. Vyama vya siasa vilivyochukua form mali yao 3. Wasimamizinwa uchaguzi ni mali yao 3.Dola ni mali yao 4. Wachapisha makaratasi ya kura, ni watu wao...
Back
Top Bottom