Asanteni kwa ushauri wanajf kama ni kupiga nilishapiga mpaka nikapeleka hosipitali ya rufaa mkoa flani hivi lakini sioni sababu ya kumpiga tena. Na isitoshe alishasema nikimpiga tena ananifunga so hiyo option nimeiacha wadau.
KIDHEA, ni mengi sijayazungumza kwani kila ninavyozidi kuandika maumivu hayauachi moyo wangu. Lkn mawazo niliyoyapata hapa hakika naendelea kujifunza na mwisho nitatoa final say and decision. Kisha nianze safari ya matumaini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.