Jaman naomba kuuuliza.maswali tatatu.
Je umri ni kigezo kinachoweza kumfanya MTU acpate mkopo was chuo?
Swali la pili je.kama nliwahi kuomba TCU Mara mbili na kuchaguliwa lakini sikuenda chuo naweza kuomba tena kwa badae?
Swali la mwisho ili MTU a some automobile engineer.ni lazima a some...
TAARIFA KWA WAOMBAJI WA MIKOPO KUHUSU KUMALIZIKA KWA ZOEZI LA KUREKEBISHA TAARIFA ZA WAOMBAJI
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekamilisha zoezi la kurekebisha fomu za maombi ya mikopo kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Zoezi hilo lilianza tarehe 3 na kumalizika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.