Wakuu habari za muda huu,
Waajiriwa wa ajira mpya za TAMISEMI tulivyoripoti kwenye Halmashauri zetu ili tuanze kazi..
Tuliambiwa tuandike barua za kuomba pesa ya kujikimu ambapo tuliambiwa tuandike Tsh. 80,000/= per day..
Baada ya kufatilia kwa watumishi wenzetu waliotutangulia kazini...
Shukrani mkuu kwa ushauri..
Tulikuta hiyo order mkuu kwamba bank ni mbili tu either NMB or CRDB
and kiukweli nilifanya mistake kutokwenda kuicheck account kabla ya mshahara kuingia..
Habari za muda huu wakuu.
Mimi ni miongoni mwa waajiriwa wa ajira mpya zilizotangazwa na TAMISEMI mwezi wa 6, 2023..
Sasa kabla sijapata kazi serikalini nilkua natumia EQUITY BANK kwenye kupokelea mishahara yangu kule nilipokuwa nimeajiriwa. Baada ya kuajiriwa serikalini nikatakiwa nijaze...
Hahhahaa ndugu yangu Paskali ingawa najua sio jina lako halisi.
Kaa ukijua hatumchagui Gwajima unaemjua wewe tunamchagua Gwajima tunayemjua sisi na mwenye uwezo mkubwa wa kutetea hoja na kutuletea maendeleo.
Inaonekana kabisa wewe ndo unaamka leo.
Yaaan hoja kama hizi za kitoto hata Halima mwenyewe kashaacha kuzitumia kwa sababu haziwatishi wala kuwashtua wana Kawe.
Tafuta upupu mwingine wa kuja nao hapa.
Ataitekeleza tu hata Mungu mwenyewe aliwaahidi wana wa Israel nchi ya maziwa na asali lkn ilchukua miaka mingi kutimia
Wanakawe tumeamua kwenda na Gwajima hivyo hivyo
Me ningekua moderator huu uzi usingefika hadi saa hii..
Una lengo la kuleta udini kwenye taifa letu.
Gwajima kutangaza nia tu imekua nongwa, sijui mnamuogopa maana sielewi sielewi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.