Recent content by man of the year

  1. M

    Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?

    Mbona Kenya wamiliki binafsi wa eneo husika ndio huwa wanatoa cctv footage,hapa bongo ni mpaka polisi
  2. M

    Chaula tunakuombea heri za Mwenyezi Mungu huko uliko kama bado uko hai

    Punishment alopewa ni kubwa sana angechapwa viboko akawachwa aende zake,alichofanya sio kosa kisheria ndio maana mahakama iliona hana hatia
  3. M

    Kati ya mwanaume na mwanamke nani mwenye akili zaidi

    Wanawake hawana haya,sasa kama anaweza kukopa vikoba bila mume kujua,huyo ni wa kumwamini???
  4. M

    Kati ya mwanaume na mwanamke nani mwenye akili zaidi

    Kwenye pesa hakuna kuaminiana,lolote linaweza kutokea na ndoa ikaishia hapo,imagine umempa na yeye kamkopesha ndugu yake kwa ahadi ya kurejesha,je ikitokea ikashindikana si ndo mtaanza kudaiana.
  5. M

    Kati ya mwanaume na mwanamke nani mwenye akili zaidi

    Mimi wa kwangu aliniambia niwe nampa fedha anitunzie nikahisi kama amenidharau.Siku hiyo nipimkalipia kwa hasira nikamkanya asirudie tena,naona akawa mnyonge siku nzima.
  6. M

    Kuna mdada nafanya naye kazi ofisi moja, nampenda lakini naogopa kumwambia — nifanye nini?

    Usi mwambie umemwelewa anaweza kuchomoa,mfanye kuwa rafiki naskia sikuizi kuna friend with benefits akijisogeza sana anza kujionyesha una demu mwingine ataanza kuona wivu hapo sasa ndio mfungukie. N:B usimtongoze akikataa utakosa amani.
  7. M

    PostGE2025 Ukimya wa Vyombo vya Habari Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, nini chanzo?

    Social media na media za jirani yetu zinatutosha,hatutaki story zao hao kwanza habari zao nyingi ni fake kama ile ya wakatoliki madera
  8. M

    Wanaotafuta Ndoa Tu – Uzi Rasmi wa Kuunganisha Wachumba

    Mkuu nitafutie mwanamke yeyote awe mrefu mwembamba asiwe na mtoii
  9. M

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Umelenga mule mule
  10. M

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Natumia vitu vingi kwa sasa, hatuendani tena.
  11. M

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Tulikua university nipo 3rd na yeye 2nd year
Back
Top Bottom