Kwenye pesa hakuna kuaminiana,lolote linaweza kutokea na ndoa ikaishia hapo,imagine umempa na yeye kamkopesha ndugu yake kwa ahadi ya kurejesha,je ikitokea ikashindikana si ndo mtaanza kudaiana.
Mimi wa kwangu aliniambia niwe nampa fedha anitunzie nikahisi kama amenidharau.Siku hiyo nipimkalipia kwa hasira nikamkanya asirudie tena,naona akawa mnyonge siku nzima.
Usi mwambie umemwelewa anaweza kuchomoa,mfanye kuwa rafiki naskia sikuizi kuna friend with benefits akijisogeza sana anza kujionyesha una demu mwingine ataanza kuona wivu hapo sasa ndio mfungukie.
N:B usimtongoze akikataa utakosa amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.