Recent content by Man Mkush

  1. M

    Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

    Hiyo ya ku dm wahusika mm nshafanya had kwa mawaziri,sospeter muhongo,Angel kairuki na wengine waliokuwa wizara ya nishati na madini,sikuwahi jibiwa hata 🤣
  2. M

    Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

    Mm pia nahisi hvyo,Nina muda sana mule ,ila Sifa zangu haziniuzi kwa makampuni
  3. M

    Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

    Ulipata ukiwa na akaunt ya kawaida au premium
  4. M

    Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

    Mm nipo Tangu 2015 ,naona kitu kimenishinda n kuingia kule Premium ,sjui had uwe Premium ndio unapata kazi ,nkaachana na hyo akaunti yangu yenye qualifications za Geologist,nikafungua ya Udereva ,ila still hola hakuna msaada.
  5. M

    KERO Mashirika ya kigeni yanayojiita Humanitarian au International NGO's na kasumba za ubaguzi kwa waajiriwa wazawa!

    Habar KIONGOZ,mi dereva ila sjawah fanya kazi international NGO yeyote,lkin nataman nifanye Kaz mashirika au hizo taasisi, Please km Kuna chance nisaidie hapo nijitose.
  6. M

    Msaki anayemiliki mjengo wa Kibo Complex anaweza akawa kwenye top 10 ya matajiri weusi Tanzania

    Hahaha ,Hivi Yule mzee NI Nan,yule was "We uliskia wap,Ulisikia wap,Et Mhe.Ulisikia wap"
  7. M

    Natafuta chuo kinachofundisha kuendesha mitambo (operator)

    Shinyanya Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom