Inawezekana na sidhani kama ni tatizo kwa msomi wa ngazi kama hiyo kutokujua kuzungumza kingereza kwa ufasaha iwe ni Tanzania au nchi nyingine yoyote .Na kushindwa kuwa fasaha sio dhambi / jambo la ajabu , ila kituko ni pale ambapo msomi atashindwa kuwasiliaha kile alichokisoma , mfano...
Nianze kuipongeza serikali kwa Mia nzuri ya kutaka kuongeza idadi ya wanasayansi ili taifa liweze kuendelea na kuweza kufikia kumudu kujiendeaha kama taifa la viwanda ambalo ndilo tunaliendea.
Nipende kutoa maoni yangu kwa wizara ya elimu juu ya approach inayotaka kui-impliment ili kuongeza...
Nambazao ukipiga unaambiwa namba imezuiliwa kwa muda , alaf mamba nyingne ukipiga anapokea RAIA wa kawaida tena mwanamama! Hata cjui how come wameweka mamba zisizo na msaada wowote
Anayefaham naomba anijuze , Mimi nimekua selected according to NACTE lakini kunataarifa zinaonyesha Kuwa bado uthibitisho kutoka chouni.
Ningependa kufaham kwamba inachukua mud a gani kuthibitishwa na Chuo , pia mwaka wa masomo kwa wanafunzi wa diploma za kilimo utaanza mwezi wa ngapi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.