Recent content by man at work

  1. man at work

    Bodaboda zinatudhalilisha sema basi tu hatuna jinsi

    Watu wa jf bwana ,kila mtu ana gari na anapanda boda tena analia na buku
  2. man at work

    Bodaboda zinatudhalilisha sema basi tu hatuna jinsi

    Au km unajipenda sana nunua yakwako yakuendea kazini ,au unasubiri 2050 utakaponunua gazi used ya umeme¿
  3. man at work

    Bodaboda zinatudhalilisha sema basi tu hatuna jinsi

    Nauli zenu ndogo inabidi mpande wa2 km unalipa freshi bila malalamiko unapanda mwenyewe bwn
  4. man at work

    Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Sijawahi ona faida kutishia kutaja wahalifu, ona sasa ,namuombea apone atakuwa amejifunza kitu
  5. man at work

    Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Hapa uchaguzi mkubwa umeanza kua very interesting,
  6. man at work

    Dkt. Mwigulu rudi tena useme vizuri kanusho la serikali "kufulia"

    Sasa hivi wanaiba vifurushi vya data , , wanaiba ukinunua umeme. Tanzania tunaongozwa na vibaka tupu waliotumia fursa ya katiba nzee kufungia bao la mkono, wameanza kutafuta hela za kampeni feki za kanga na kofia na boksa za kuwapa walala hoi, huku wahesabu kura na wanaotangaza wakipewa ahadi...
  7. man at work

    Single mothers hawajali maneno yenu

    Mleta mada relax watu wanauzoefu nao ila sio wote wabaya,yaani ktk single mother 1000 , mmoja tuu ndio wife material , hao wengine ni wafanyabishara wa uchi waliopata faida zao , na bado tunawaungisha tuu hatuna roho mbaya , ila idadi yao inatisha kwa sasa jmn naandaa uzi wao nikipata mda...
  8. man at work

    Single mothers hawajali maneno yenu

    Mh mbn kama kuna watu mnaviziana km konokono humu jmn (kono kono hawana jinsia1 wanazo 2 hivyo ni kuviziana atakaemuwahi mwenzake
  9. man at work

    Single mothers hawajali maneno yenu

    Niliwahi kuoa single mama kilichonipata ni very sad story ndio napona pona saiv , inshallah namshukuru Mungu sana amenipa mfariji soon naoa tena ,
  10. man at work

    Kuacha punyeto ni vita ngumu kuliko vita ya Gaza

    Tuanze sis wa2 tuwe mfano na wengine waige kwetu bas
  11. man at work

    Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

    Kwa nini? Wakati nilitaka kwenda
  12. man at work

    Hakuna mganga wa kienyeji wa ukweli, wote ni matapeli. Mtu anayetoa ushuhuda kuwa mganga fulani ni kiboko huwa ni dalali wake

    Ukiwa Tanzania kama unaweza kupata hela ya mtu au watu bila kumshikia mtu yoyote silaha kama panga wala bunduki au silaha yoyote ile ni wewe tu baba na ujuzi wako leta desi, leta mafuta leta maji, leta tunguri,, leta kikombe,, yaani chochote,. Hakuna utakaposhtakiwa upate hukumu ya ukweli...
Back
Top Bottom