Recent content by mamytrifo

  1. M

    Nani anajua kutengeneza ubuyu?

    Natamani kujua kutengeneza kwa ajili ya kuwauzia wanafunzi
  2. M

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Nipo mkoan naitaji kufanya biashara hii, msaada. Nahitaji mzigo mzuri. Hasa kwa mabelo. Pia nahitaji mtu mwaminifu wa kuniongoja na kunipa ushauri mzuri. Wengi wamekuwa wakidanganya, nina mtoto mdogo sijaanza kusafiri.
  3. M

    Pata nguo za Mitumba, Grade A

    Sory msg zimejirudia
  4. M

    Pata nguo za Mitumba, Grade A

    Sijaingia humu ndan kwa mda mrefu, nahitaji kumpm wiseboy na dumelang ila sijafikia vigezo, msaada plz. DUMELANG NA WISEBOY NINASHIDA NA NYIE, MSAADA WENU NI MUHIMU SANA. NIKIPATA NAMBA ZENU NTASHUKURU SANAAA
  5. M

    Pata nguo za Mitumba, Grade A

    Sijaingia humu ndan kwa mda mrefu, nahitaji kumpm wiseboy na dumelang ila sijafikia vigezo, msaada plz. DUMELANG NA WISEBOY NINASHIDA NA NYIE, MSAADA WENU NI MUHIMU SANA. NIKIPATA NAMBA ZENU NTASHUKURU SANAAA
  6. M

    Pata nguo za Mitumba, Grade A

    Sijaingia humu ndan kwa mda mrefu, nahitaji kumpm wiseboy na dumelang ila sijafikia vigezo, msaada plz. DUMELANG NA WISEBOY NINASHIDA NA NYIE, MSAADA WENU NI MUHIMU SANA. NIKIPATA NAMBA ZENU NTASHUKURU SANAAA
  7. M

    Pata nguo za Mitumba, Grade A

    Naomba uni pm, mi siwez kuku pm sina hizo post tano. Ninaitaji sanaaa nguo hizo
  8. M

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Kwahiyo kalika milion moja inatosha kwa viatu na nguo.
  9. M

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Habari, Naombeni ushauri wenu. Nahitaji na natamani kuanza biashara ya mitumba ya nguo na viatu na nipo mkoani singinda. Je, nahitaji mtaji wa sh ngapi ili nianze? Pili, je baro kwanzia daraja la 1-3 ni bei gani kwa kila daraja,na yanapatikana wapi? Na pia naomba wenye uzoefu na hii biashara...
Back
Top Bottom