Recent content by mamylove

  1. mamylove

    Nafasi za Ajira Jeshi la Magereza 2023

    Nenda Kwa hospitali yoyote ya serikali
  2. mamylove

    SHARP AQUOS

    Nina R6 shida ninayo iona ni kupata Moto ukiitumia muda mrefu hasa kama mpenzi WA kucheza game. Ila ni simu nzuri sana
  3. mamylove

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Shauri yako we kariri tu
  4. mamylove

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Tuache basi[emoji2][emoji2][emoji2]
  5. mamylove

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Yaani Kuna picha nikiona sihangaiki kuangalia mtumaji [emoji3][emoji3][emoji3]
  6. mamylove

    Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

    Wanaume hapa mna cha kujifunza 1. Sio kila mwanamke anafaa kuwa mke 2. Usioe Kwa mihemko 3. Mwanamke anasamehe ila hasahau, ukimfanyia ubaya Leo hasa ule wa kujirudia na akakutoa moyoni usitegemee km atakuja kugeuka nyuma na kukupenda kama awali. Upendo ukiisha umeisha Mazima tunaishi Kwa...
  7. mamylove

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Mambo gani ya kutishana. Kifo hakizoeleki jamani
  8. mamylove

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Muangalie wenye viwango wasituharibie Taifa[emoji23][emoji23][emoji23]
  9. mamylove

    Madhara ya mimba kukaa kifuani

    Kwa uelewa wangu, mimba ikikimbilia kifuani mjamzito anakua na maziwa makubwa Kwa maana kwamba yanaongezeka kuliko kawaida tofauti na tumbo na mwingine huwezi mgundua kama ni mjamizto, tumbo linakua kwa speed ndogo sana. Ila ukienda kwenye vipimo mfano ultra sound mimba inaonekana. Hio ya wiki...
  10. mamylove

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Mbona mnatunyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23]
  11. mamylove

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Op hapana kwakweli, au Kwa vile sina hela[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom