Wanaume hapa mna cha kujifunza
1. Sio kila mwanamke anafaa kuwa mke
2. Usioe Kwa mihemko
3. Mwanamke anasamehe ila hasahau, ukimfanyia ubaya Leo hasa ule wa kujirudia na akakutoa moyoni usitegemee km atakuja kugeuka nyuma na kukupenda kama awali. Upendo ukiisha umeisha Mazima tunaishi Kwa...
Kwa uelewa wangu, mimba ikikimbilia kifuani mjamzito anakua na maziwa makubwa Kwa maana kwamba yanaongezeka kuliko kawaida tofauti na tumbo na mwingine huwezi mgundua kama ni mjamizto, tumbo linakua kwa speed ndogo sana. Ila ukienda kwenye vipimo mfano ultra sound mimba inaonekana. Hio ya wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.