Sababu zipo kadhaa. (1) Madaktari wenyewe wanachangia kwa kushauri ujifungue kwa kisu kwa usalama wa mama na mtoto. Hapa atakupa sababu za kitabibu na utakubali tu maana yeye ndio ana utaalamu zaidi yako. Ila mara nyingi madokta hao wanatarget kupata malipo zaidi sababu operation ina hela ndefu...
Speaking from my experience as a married woman ili ndoa idumu inahitaji uvumilivu mwingi, uwazi katika kuwasiliana , kukubali tofauti za mwenzako, kujishusha pale inapobidi na kuomba sana Mungu awape hekima ya namna ya kuishi pamoja. Sio rahisi, ila ukiamua inawezekana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.