Hahahahaha
Mwenyekiti wa uzi wetu pendwa wa Kimasikhara uliingia kwenye mikono ya Wajuba wa kapaa na wewee[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Weweee acha hizoo...
Yule anae Amini Allah alieko kule umakondeni uje useme awe sawa na yule alieko Kule Dubai...???
Vuta ni kuvute hiii... Hakuna cha nini ila Black people black Mind kademshit
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Shida ni kwamba Uwarabuni wanaongea kiarabu na kusali ki Arabu.
Ulaya wengi ni wana sali ki Christo na wana amini katika Christo.
Sasa sisi ndo hatuelewi which is Which...!!?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hizi na dharia ndo zina tufanya tuishi..
Ki holela holela kwa kushabikia dini na mambo mengine tofauti.
Uyo Allah... Mbona kawapa wale mali akili afya nzuri tena wenye nguvu kuliko wewee...???
Sasa utajuaje kama huyo Allah kama sio wao ndo wame mleta ili tukariri na kushindwa kubuni...
Maana...
Yaap na ndo maana kule Amerca kazi zao ni kuimba kuigiza na hata kuchekesha...
Lakini katika Science oportunity horob hakuna kitu kabisaa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Matukio mengi humu ya shule sanaa...
Ila ingefaa yawe ya mtaani katika pilika za maisha.
Sa mtu kuja na kisa cha darasa la kwanza leo hii dah...
Any way tushushe nondoo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sio ma biashara bhanaa Jeshini.
Jeshini ni sehem nzuri ya kujenga karakana kubwa Askari wanaoneshana ma ujuzi baada ya kutoka katika mafunzo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kila Mapitio ya watu nayo soma...
Ila hili la Mjita asee lina niacha hoi kila nikikumbukaaa dah...[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.