Usimamizi wa serekali iliyoko madarakani ni jukumu la kila mtu achilia mbali vyama vya siasa na ndio maana nchi za wenzetu zinatushinda.Kufuatilia shughuli za serikali ni muhimu kwa watu wote ikiwemo wewe na kwa sababu watanzania ni wavivu,waoga na tunapenda kufanyiwa tunaishia kuamini tu...
Mwalimu alikuwa na busara na kuona mbali,Dr.JK Yeye kawaachia uwazi ili mjionee madudu yaliyokuwa yakifanywa na wenye nafasi zao ndani ya mfumo tangu utawala wa awamu ya pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.